Achen kuendekeza hizi topic why do you discuss while the position of our nation i s clear and the chapter should be closed. Wale mnao endeleza topic hii kama mna maslahi yenu binafs tuelezane
Huyu jamaa ( Dr. Kitila Mkumbo ) hafai kabisa ndio maana hata watani zangu chadema wamemfukza. Katika maisha kuna maswala yanayohtaji suluhu ya haraka kulinda heshima ya jamii. Na kuna mipango ya mda mrefu. Sidhan kwamba unaweza kushughulkia matatizo mengine wakati kuna swala linalomomonyoa...
Kwani ukimwandalia mgeni wako chakula nyumbani kwako ina dhana ya kitapeli hiyo? Wapinzani ni wapinzani munaondoa hata dhana ya utu machoni mwa watu. Sisi tuna wanachama kuwapa chakula wanachama wako si utapeli ni kuonyesha ustawi wa chama.
Nchii hii hata siku moja haijengwi kwa chopa,itajengwa na watu wanaopita chini na kuyaona maisha halisi ya mtanzania. Ccm tupo kila mahali mkipanda chopa sisi tunapita nyumba kwa nyumba. Nyinyi hamna wanachama mna mashabiki sisi tunajuwa wanachama wetu kwa mipango madhubuti.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.