Wasalaam nyote,
mwenye kujua huduma ya kwanza kabla sijafika hospitali anisaidie.
Kifua kimebana sana ghafla usiku huu,kinauma na siwez hata kuongea sauti ni kama ya kuku mwenye mdondo. Maumivu makali sana ya kifua na ninapumua kwa tabu sana.
Sijawah kuwa na asthma wala hatuna historia hyo...
Wasalaam nyote,
Hivi,katika sie tulofanya interview pale kwa academic posts na zile nyingine kuna yeyote ameshaitwa?
Nataka kujua kama ndo nshakoza kazi au niendelee kuhope.
Na km bado kuna mwenye idea wanaeza kuita lin walofanikiwa?
Nilikuwa nishamchukia huyo mama baada ya kusoma post. Lakh.nh. we bwana Mungo Park umenibadili mawazo sana. Nadhani uko sahii. We should give that woman some benefit of doubt. That dude afanye kama ulivosema.
Kuna hali ya sintofahamu kwa wakazi wa huku Mbagala. Milio inayoashiria mabomu inasikika watu tunataharuki.
wakati Wengine tunatafakari kukimbia kuna habari zinasema ni majambazi yamevamia banki. Wengne wanahisi mkutano wa dini uliokua eneo hilo ndo umeshambuliwa.
Obama refusal
to visit Kenya
will have
consequences
By KWAMCHETSI MAKOKHA
Posted Friday, June 28 2013 at
18:57
US President Barack Obama is no
friend of Kenya. Consider that when
no other country ever declared a
public holiday to celebrate his
election victory in 2008, Kenya did...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.