Mourinho
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 4,619
- 2,326
Mourinho ,sija-edit baada ya wewe kunikosoa bali niliona makosa yangu kabla ya wewe kusema
'
Pia sijatwist maneno yako wewe ndo uliyesema Cain alimwambia Mungu akikutana na watu wengine,tazama paragraph yako ya mwisho kwenye post yako
'
Lakini sehem hiyo imejirudia kwenye quote yako ya biblia kwenye posta yako uliyosema nimetwist maneno yako
'
Nashangaa kuona unasahau ulichoandika mwenyewe!
Unashindwa kujibu hoja kwa hoja unaishia kutwist maneno, kuedit post zako na kuniambia nimeandika vitu ambavyo sijaandika, no wonder why hata hiyo biblia unashindwa kuielewa.
Nimeandika, Cain alimwomba Mungu, akikutana na watu wasimuue, wewe unasema nimeandika Cain aliomba asikutane na watu, kwa nini unapindisha maneno?
Halafu hayo maswali mbona huyajibu?
Last edited by a moderator: