👉 “Kikosi Maalum cha Silaha na Mbinu”
(yaani tafsiri ya Special Weapons and Tactics)
Maana yake kwa ufupi
SWAT ni kikosi maalum ndani ya polisi kinachoshughulika na matukio hatari sana ambayo polisi wa kawaida hawawezi kuyadhibiti kirahisi.
Hii vita, kuna mtu ndio anayafutwa, ishu sio iran. America wanataka china aingie vitani, kwasababu anakuja kwa kasi sana kwenye uchumi. Ipa China yupo smart,
Kila mtu anaaamuzi yake,mfano Nyerere alivyokuwa anasema, wanatabia za kimalaya malaya tena akawa anarudia, Je unadhani angeyasema hayo Mama Samia, mngesemaje? Hata angeongea Kikwete tungesemaje?
Kwa hiyo kama sijawahi kumwona kiongozi live... Nawaoma tu kwenye TV, maana nisiwakubali kama ni viongozi ? Ila baadae nimeangalia muvi mpaka mwisho nimemwelewa Makonda, tofauti na kichwa cha habari.
Unaonekana unachanganya mambo kadhaa. Fatwa katika Uislamu ni maoni ya kisheria ya mwanazuoni juu ya jambo fulani, si lazima iwe wito wa vita au kuua.
Pia si sahihi kuzungumza kana kwamba kuna fatwa ya Waislamu wote dhidi ya Marekani au Israel. Matamko kama hayo mara nyingi hutolewa na makundi...
Inachekesha sana kuona mtu anakaa na kuandika insha ndefu kumjadili Donald Trump kana kwamba ndiye chanzo cha matatizo yote ya dunia, wakati anashindwa hata kusema neno moja kuhusu Yoweri Museveni ambaye amekaa madarakani tangu 1986 mpaka leo.
Inashangaza sana kuona watu wanatumia nguvu kubwa kumjadili Donald Trump ambaye hata si rais wa nchi yako, lakini wananyamaza kabisa kuhusu watawala wa Afrika wanaokaa madarakani miongo mingi bila kuachia.
Kwa mfano, hebu tuanze na Yoweri Museveni. Huyu amekaa madarakani tangu mwaka 1986 hadi...
A $30,000 PROMO CODE FOR THE CHAMPION 🍀 Get a free $30,000 promo code and win the $50,000,000 jackpot. Message ID: 880877
RESERVATION ID: f4at9u4s5d5m1b4hc7sl2a0o8g8m2z8rp9ua6i0z2b6d7a5ca0vo2j3p9q0z8l6jw0jw2w3p8t9u0n1xc8au3r4p3r9q7s8ah1im6r8l2z6h8p8i
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.