Recent content by CalvinPower

  1. C

    JamiiForums Tanzania Je, ni sahihi kwa Askari wa Jeshi la polisi kuvaa mavazi yaliyoandikwa SWAT?

    👉 “Kikosi Maalum cha Silaha na Mbinu” (yaani tafsiri ya Special Weapons and Tactics) Maana yake kwa ufupi SWAT ni kikosi maalum ndani ya polisi kinachoshughulika na matukio hatari sana ambayo polisi wa kawaida hawawezi kuyadhibiti kirahisi.
  2. C

    JamiiForums Tanzania Kitendo Cha Trump kupiga block kwenye mlango wa Hormuz, ni kite iliyosukumwa vizuri

    Hii vita, kuna mtu ndio anayafutwa, ishu sio iran. America wanataka china aingie vitani, kwasababu anakuja kwa kasi sana kwenye uchumi. Ipa China yupo smart,
  3. C

    JamiiForums Tanzania Sijaona Rais mwenye lugha za kihuni, kejeli, dharau na kuropoka ovyo kama Donald Trump

    Kila mtu anaaamuzi yake,mfano Nyerere alivyokuwa anasema, wanatabia za kimalaya malaya tena akawa anarudia, Je unadhani angeyasema hayo Mama Samia, mngesemaje? Hata angeongea Kikwete tungesemaje?
  4. C

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Jenerali Muhoozi: Uganda ipo tayari kuisaidia Israel

    Shule gani ulikuwa primary, na mwaka gani? Mimi nilikuwa Uganda primary shule ilikuwa inaitwa Norman Gordino
  5. C

    JamiiForums Tanzania Halotel 5g router

    Mm natumia fiber ya Halotel
  6. C

    JamiiForums Tanzania Wimbo wa Kombe la Dunia 2026 ni mbaya; hauna hadhi ya michuano hiyo, umekaa kama Kwaya ya kanisani

    Nilipendaga huu tu Wavin' Flag - K'naan
  7. C

    JamiiForums Tanzania Ni machine gani au kifaa kilichokuwa kikikuingizia kipato, lakini sasa kimekumbwa na changamoto?

    Huyu aliesema studio ya kusafisha picha KODAK, ni kweli mkuu, siku hizi sio biashara tena kusafisha picha kama zamani.
  8. C

    JamiiForums Tanzania Makonda: Hawajawahi kuona vita kati ya Tanzania na Marekani ila wanasema Marekani ina jeshi imara

    Kwa hiyo kama sijawahi kumwona kiongozi live... Nawaoma tu kwenye TV, maana nisiwakubali kama ni viongozi ? Ila baadae nimeangalia muvi mpaka mwisho nimemwelewa Makonda, tofauti na kichwa cha habari.
  9. C

    JamiiForums Tanzania Tanzania Yatumia Bilioni 23 Kuagiza Maziwa Nje Ya Nchi

    Shida Kenya na Uganda tunasema eti ni nje... Brookside kenya, Lato Uganda.
  10. C

    JamiiForums Tanzania Namshauri Ayatollah Khamenei Jr. atoe fatwa dhidi ya Netanyahu na Trump

    Unaonekana unachanganya mambo kadhaa. Fatwa katika Uislamu ni maoni ya kisheria ya mwanazuoni juu ya jambo fulani, si lazima iwe wito wa vita au kuua. Pia si sahihi kuzungumza kana kwamba kuna fatwa ya Waislamu wote dhidi ya Marekani au Israel. Matamko kama hayo mara nyingi hutolewa na makundi...
  11. C

    JamiiForums Tanzania Ni wapi naweza pata chumba cha kulala na tsh 60,000 kwa usiku Zanzibar?

    Sijakuelewa yaani unataka chumba cha kulala na vilevile upewe na sh 60,000 Au mm sielewi kiswahili
  12. C

    JamiiForums Tanzania Hivi mashabiki na wapenzi wa Donald Trump wako sawa kichwani?

    Inachekesha sana kuona mtu anakaa na kuandika insha ndefu kumjadili Donald Trump kana kwamba ndiye chanzo cha matatizo yote ya dunia, wakati anashindwa hata kusema neno moja kuhusu Yoweri Museveni ambaye amekaa madarakani tangu 1986 mpaka leo.
  13. C

    JamiiForums Tanzania Hivi mashabiki na wapenzi wa Donald Trump wako sawa kichwani?

    Inashangaza sana kuona watu wanatumia nguvu kubwa kumjadili Donald Trump ambaye hata si rais wa nchi yako, lakini wananyamaza kabisa kuhusu watawala wa Afrika wanaokaa madarakani miongo mingi bila kuachia. Kwa mfano, hebu tuanze na Yoweri Museveni. Huyu amekaa madarakani tangu mwaka 1986 hadi...
  14. C

    JamiiForums Tanzania Siku Rais Magufuli anastaafu urais, itakuwa sherehe kubwa kwa Mafisadi

    A $30,000 PROMO CODE FOR THE CHAMPION 🍀 Get a free $30,000 promo code and win the $50,000,000 jackpot. Message ID: 880877 RESERVATION ID: f4at9u4s5d5m1b4hc7sl2a0o8g8m2z8rp9ua6i0z2b6d7a5ca0vo2j3p9q0z8l6jw0jw2w3p8t9u0n1xc8au3r4p3r9q7s8ah1im6r8l2z6h8p8i
  15. C

    JamiiForums Tanzania TV gani hapo nichukue 50 inch 4K solarmax au 43 inch FHD Hisense

    Ni kweli, yangu ni 50" ila kwasasa display imepata shida. Sijajua kwanini.
Back
Top Bottom