Recent content by CalvinPower

  1. C

    Jenerali Muhoozi: Uganda ipo tayari kuisaidia Israel

    Shule gani ulikuwa primary, na mwaka gani? Mimi nilikuwa Uganda primary shule ilikuwa inaitwa Norman Gordino
  2. C

    Halotel 5g router

    Mm natumia fiber ya Halotel
  3. C

    Ni machine gani au kifaa kilichokuwa kikikuingizia kipato, lakini sasa kimekumbwa na changamoto?

    Huyu aliesema studio ya kusafisha picha KODAK, ni kweli mkuu, siku hizi sio biashara tena kusafisha picha kama zamani.
  4. C

    Makonda: Hawajawahi kuona vita kati ya Tanzania na Marekani ila wanasema Marekani ina jeshi imara

    Kwa hiyo kama sijawahi kumwona kiongozi live... Nawaoma tu kwenye TV, maana nisiwakubali kama ni viongozi ? Ila baadae nimeangalia muvi mpaka mwisho nimemwelewa Makonda, tofauti na kichwa cha habari.
  5. C

    Tanzania Yatumia Bilioni 23 Kuagiza Maziwa Nje Ya Nchi

    Shida Kenya na Uganda tunasema eti ni nje... Brookside kenya, Lato Uganda.
  6. C

    Namshauri Ayatollah Khamenei Jr. atoe fatwa dhidi ya Netanyahu na Trump

    Unaonekana unachanganya mambo kadhaa. Fatwa katika Uislamu ni maoni ya kisheria ya mwanazuoni juu ya jambo fulani, si lazima iwe wito wa vita au kuua. Pia si sahihi kuzungumza kana kwamba kuna fatwa ya Waislamu wote dhidi ya Marekani au Israel. Matamko kama hayo mara nyingi hutolewa na makundi...
  7. C

    Ni wapi naweza pata chumba cha kulala na tsh 60,000 kwa usiku Zanzibar?

    Sijakuelewa yaani unataka chumba cha kulala na vilevile upewe na sh 60,000 Au mm sielewi kiswahili
  8. C

    Hivi mashabiki na wapenzi wa Donald Trump wako sawa kichwani?

    Inachekesha sana kuona mtu anakaa na kuandika insha ndefu kumjadili Donald Trump kana kwamba ndiye chanzo cha matatizo yote ya dunia, wakati anashindwa hata kusema neno moja kuhusu Yoweri Museveni ambaye amekaa madarakani tangu 1986 mpaka leo.
  9. C

    Hivi mashabiki na wapenzi wa Donald Trump wako sawa kichwani?

    Inashangaza sana kuona watu wanatumia nguvu kubwa kumjadili Donald Trump ambaye hata si rais wa nchi yako, lakini wananyamaza kabisa kuhusu watawala wa Afrika wanaokaa madarakani miongo mingi bila kuachia. Kwa mfano, hebu tuanze na Yoweri Museveni. Huyu amekaa madarakani tangu mwaka 1986 hadi...
  10. C

    Siku Rais Magufuli anastaafu urais, itakuwa sherehe kubwa kwa Mafisadi

    A $30,000 PROMO CODE FOR THE CHAMPION 🍀 Get a free $30,000 promo code and win the $50,000,000 jackpot. Message ID: 880877 RESERVATION ID: f4at9u4s5d5m1b4hc7sl2a0o8g8m2z8rp9ua6i0z2b6d7a5ca0vo2j3p9q0z8l6jw0jw2w3p8t9u0n1xc8au3r4p3r9q7s8ah1im6r8l2z6h8p8i
  11. C

    TV gani hapo nichukue 50 inch 4K solarmax au 43 inch FHD Hisense

    Ni kweli, yangu ni 50" ila kwasasa display imepata shida. Sijajua kwanini.
  12. C

    Kuna nchi Afrika inazifikia Iran, North Korea kwenye maendeleo ya kiteknolojia?

    Hata hao wazungu wanawategemea hao waajemi na jews. Hawa jamaa ni Mungu aliwapa kilakitu.
  13. C

    Kwanini Urusi na China hawakumkinga Maduro?

    Kwa uhalisia wa siasa za kimataifa, China na Russia HAWAWEZI “kum-rescue” Maduro kirahisi kama watu wanavyodhani. Kwanza, Maduro akishakuwa chini ya ulinzi wa Marekani, jaribio lolote la kumtoa kwa nguvu lingekuwa sawa na kutangaza vita ya moja kwa moja dhidi ya Marekani. Hilo si jambo ambalo...
  14. C

    Operesheni ya Kukamatwa kwa Rais wa Venezuela: Simulizi la Uvamizi wa Kasi na Usahihi wa Hali ya Juu

    Operesheni ya Kukamatwa kwa Rais wa Venezuela: Simulizi Linalozua Mjadala Operesheni iliyodaiwa kusababisha kukamatwa kwa Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro, na majeshi ya Marekani imeelezwa kama operesheni ya kasi na usahihi wa hali ya juu. Simulizi hilo linaeleza kuwa shambulio la ardhini...
Back
Top Bottom