Sawa, kama hoja ni kupunguza joto, je mikoa kama Arusha na Mbeya ambako hali ya hewa ni ya baridi kiasi, kwa nini nako mtindo huu umeenea sana? Hapo ndipo naona kuna mchango mkubwa wa mtindo wa usanifu kuliko sababu ya hali ya hewa pekee.
Mimi sijauelewa huu mtindo wa mabati marefu. Tumeiga sana bila kujiuliza kama unaendana na mazingira yetu. Tanzania hatuna theluji; wakati mwingine tunaiga muonekano kuliko kuangalia uhalisia wa matumizi na gharama zake.
Chupa 112 zinaweza kuonekana nyingi, lakini bado hatuwezi kujua zilikuwa za matumizi binafsi au za biashara. Inawezekana walizoea kutumia bidhaa hizo walikotoka na walipoingia Tanzania wakajaribu kuziagiza kinyemela. Hata hivyo, hilo ni uwezekano tu; ukweli utategemea matokeo ya uchunguzi wa...
Ndiyo, matumizi ya neno "Daddy" kwa baadhi ya viongozi wa makanisa ya kiroho na kipentekoste yameongezeka sana katika miaka ya hivi karibuni. Mara nyingi hutumiwa na waumini kama jina la heshima linalomaanisha baba wa kiroho (spiritual father), sawa na jinsi wengine wanavyosema "Baba Askofu"...
👉 “Kikosi Maalum cha Silaha na Mbinu”
(yaani tafsiri ya Special Weapons and Tactics)
Maana yake kwa ufupi
SWAT ni kikosi maalum ndani ya polisi kinachoshughulika na matukio hatari sana ambayo polisi wa kawaida hawawezi kuyadhibiti kirahisi.
Hii vita, kuna mtu ndio anayafutwa, ishu sio iran. America wanataka china aingie vitani, kwasababu anakuja kwa kasi sana kwenye uchumi. Ipa China yupo smart,
Kila mtu anaaamuzi yake,mfano Nyerere alivyokuwa anasema, wanatabia za kimalaya malaya tena akawa anarudia, Je unadhani angeyasema hayo Mama Samia, mngesemaje? Hata angeongea Kikwete tungesemaje?
Kwa hiyo kama sijawahi kumwona kiongozi live... Nawaoma tu kwenye TV, maana nisiwakubali kama ni viongozi ? Ila baadae nimeangalia muvi mpaka mwisho nimemwelewa Makonda, tofauti na kichwa cha habari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.