Mtaani kwetu, pesa zipo.
Mm biashara yangu ni nzuri tu, kinachonisaidia nipo karibu na hospitali kuu, hivyo napata wateja pale kinapolia tu, nauza mpaka manne kwa siku,
Hapa nakubaliana na wewe,
Hapa ndipo nakubaliana na wewe
Hakuna mtu anataka mwalimu ahukumiwe bila makosa, ila tukio limetokea, kuna tuhuma, huwezi zipuuza tu bila kusikia upande wa mtuhumiwa.
Unajua hili suala hata mm linaniuma pande zote, iwapo mwalimu angekuwa ndugu yangu lazima ningekuwa katka kuomba yasimkute mabaya yoyote juu yake, hivyo hivyo huyo mtoto bila kuwa ngugu yangu inaniuma pia,
Ila wewe unashanikia kwa kusema eti mambo ya kizungu, hivyo kwako ni sahihi kabisa mtoto...
Yaani sisi wa hapa moshi mjini, tusizisikie, halafu wewe unataka watu wa Dar na mwanza wakujibu, kama ni mambo ya kichama, peleka kwenye chama, au kama ni chama kingine angalia namna ya kulitatua na sio kuanzisha mada ya nchi nzima, sisi tuna imani nae na hana shida yoyote, na 99% ya wakazi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.