Recent content by CalvinPower

  1. C

    JamiiForums Tanzania Neno Akili Mnemba ni tafsiri sahihi ya Artificial Intelligence?

    Je Barakoa?
  2. C

    JamiiForums Tanzania Kwanini nyumba nyingi Tanzania zina mabati marefu?

    Sawa, kama hoja ni kupunguza joto, je mikoa kama Arusha na Mbeya ambako hali ya hewa ni ya baridi kiasi, kwa nini nako mtindo huu umeenea sana? Hapo ndipo naona kuna mchango mkubwa wa mtindo wa usanifu kuliko sababu ya hali ya hewa pekee.
  3. C

    JamiiForums Tanzania Kwanini nyumba nyingi Tanzania zina mabati marefu?

    Mimi sijauelewa huu mtindo wa mabati marefu. Tumeiga sana bila kujiuliza kama unaendana na mazingira yetu. Tanzania hatuna theluji; wakati mwingine tunaiga muonekano kuliko kuangalia uhalisia wa matumizi na gharama zake.
  4. C

    JamiiForums Tanzania FT: France 0-2 Spain | World Cup 2026 | AT&T Stadium | 14 Julai, 2026 | 4:00 Usiku | France out . Spain Fainal

    Mmmmmh, kisa ..... Leo kaonyeshwa mpira
  5. C

    JamiiForums Tanzania Dar: DCEA yakamata Energy drink zenye kemikali ya Bangi

    Chupa 112 zinaweza kuonekana nyingi, lakini bado hatuwezi kujua zilikuwa za matumizi binafsi au za biashara. Inawezekana walizoea kutumia bidhaa hizo walikotoka na walipoingia Tanzania wakajaribu kuziagiza kinyemela. Hata hivyo, hilo ni uwezekano tu; ukweli utategemea matokeo ya uchunguzi wa...
  6. C

    JamiiForums Tanzania Ni wapi ntapata deki mpya ya mikanda ya VHS, ni kwajili ya kumbukumbu

    Mm nataka santuri, nia ni pambo tu la ndani ila iwe inafanya kazi, nipate na sahani kama kumi 12"
  7. C

    JamiiForums Tanzania Nani alianzisha jina la "Daddy" kwa Viongozi wa Kiroho?

    Ndiyo, matumizi ya neno "Daddy" kwa baadhi ya viongozi wa makanisa ya kiroho na kipentekoste yameongezeka sana katika miaka ya hivi karibuni. Mara nyingi hutumiwa na waumini kama jina la heshima linalomaanisha baba wa kiroho (spiritual father), sawa na jinsi wengine wanavyosema "Baba Askofu"...
  8. C

    JamiiForums Tanzania Je, ni sahihi kwa Askari wa Jeshi la polisi kuvaa mavazi yaliyoandikwa SWAT?

    👉 “Kikosi Maalum cha Silaha na Mbinu” (yaani tafsiri ya Special Weapons and Tactics) Maana yake kwa ufupi SWAT ni kikosi maalum ndani ya polisi kinachoshughulika na matukio hatari sana ambayo polisi wa kawaida hawawezi kuyadhibiti kirahisi.
  9. C

    JamiiForums Tanzania Kitendo Cha Trump kupiga block kwenye mlango wa Hormuz, ni kite iliyosukumwa vizuri

    Hii vita, kuna mtu ndio anayafutwa, ishu sio iran. America wanataka china aingie vitani, kwasababu anakuja kwa kasi sana kwenye uchumi. Ipa China yupo smart,
  10. C

    JamiiForums Tanzania Sijaona Rais mwenye lugha za kihuni, kejeli, dharau na kuropoka ovyo kama Donald Trump

    Kila mtu anaaamuzi yake,mfano Nyerere alivyokuwa anasema, wanatabia za kimalaya malaya tena akawa anarudia, Je unadhani angeyasema hayo Mama Samia, mngesemaje? Hata angeongea Kikwete tungesemaje?
  11. C

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Jenerali Muhoozi: Uganda ipo tayari kuisaidia Israel

    Shule gani ulikuwa primary, na mwaka gani? Mimi nilikuwa Uganda primary shule ilikuwa inaitwa Norman Gordino
  12. C

    JamiiForums Tanzania Halotel 5g router

    Mm natumia fiber ya Halotel
  13. C

    JamiiForums Tanzania Wimbo wa Kombe la Dunia 2026 ni mbaya; hauna hadhi ya michuano hiyo, umekaa kama Kwaya ya kanisani

    Nilipendaga huu tu Wavin' Flag - K'naan
  14. C

    JamiiForums Tanzania Ni machine gani au kifaa kilichokuwa kikikuingizia kipato, lakini sasa kimekumbwa na changamoto?

    Huyu aliesema studio ya kusafisha picha KODAK, ni kweli mkuu, siku hizi sio biashara tena kusafisha picha kama zamani.
  15. C

    JamiiForums Tanzania Makonda: Hawajawahi kuona vita kati ya Tanzania na Marekani ila wanasema Marekani ina jeshi imara

    Kwa hiyo kama sijawahi kumwona kiongozi live... Nawaoma tu kwenye TV, maana nisiwakubali kama ni viongozi ? Ila baadae nimeangalia muvi mpaka mwisho nimemwelewa Makonda, tofauti na kichwa cha habari.
Back
Top Bottom