Recent content by CalvinPower

  1. C

    Niende Uganda ama Kenya

    Achana na mambo ya kukutana na wabongo mahali,
  2. C

    Tv sio kwajili ya katuni pekee, Naombeni tupeane mawazo ya video za kuwawekea watoto waweze kujifunza mambo mengine

    Hata Tom and Jerry inafundisha pia. Tom and jerry the movie. You gotta be friends.
  3. C

    Niende Uganda ama Kenya

    Nenda Uganda, ni wakarimu sana.
  4. C

    Nawachukia sana hawa matapeli wanaouza dawa mbele ya misikiti

    Je sisi tunaouza majeneza karibu na hospitali?
  5. C

    Pesa mtaani zimepotelea wapi? Je, biashara yako inaendaje?

    Mtaani kwetu, pesa zipo. Mm biashara yangu ni nzuri tu, kinachonisaidia nipo karibu na hospitali kuu, hivyo napata wateja pale kinapolia tu, nauza mpaka manne kwa siku,
  6. C

    FT: Azam FC 2-1 Yanga SC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 17.03.2024

    Jamani, si amwanashangilia kwasababu wamekufunga? Au 2 - 1 sio ushindi wa kushangilia? Wamecheza vuzuri na wanastaili ushindi
  7. C

    DOKEZO Mwanangu ameuawa kwa kupigwa na Mwalimu lakini kesi inazungushwa

    Hapa nakubaliana na wewe, Hapa ndipo nakubaliana na wewe Hakuna mtu anataka mwalimu ahukumiwe bila makosa, ila tukio limetokea, kuna tuhuma, huwezi zipuuza tu bila kusikia upande wa mtuhumiwa.
  8. C

    DOKEZO Mwanangu ameuawa kwa kupigwa na Mwalimu lakini kesi inazungushwa

    Unajua hili suala hata mm linaniuma pande zote, iwapo mwalimu angekuwa ndugu yangu lazima ningekuwa katka kuomba yasimkute mabaya yoyote juu yake, hivyo hivyo huyo mtoto bila kuwa ngugu yangu inaniuma pia, Ila wewe unashanikia kwa kusema eti mambo ya kizungu, hivyo kwako ni sahihi kabisa mtoto...
  9. C

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Hata mm niliwaza hili pia, haland ndie alitakiwa atoke,
  10. C

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kona hainaga offside.
  11. C

    Wanalipwa na nani kumchafua Mbunge Moshi Mjini na Meya

    Yaani sisi wa hapa moshi mjini, tusizisikie, halafu wewe unataka watu wa Dar na mwanza wakujibu, kama ni mambo ya kichama, peleka kwenye chama, au kama ni chama kingine angalia namna ya kulitatua na sio kuanzisha mada ya nchi nzima, sisi tuna imani nae na hana shida yoyote, na 99% ya wakazi wa...
  12. C

    Zuchu afungiwa kujihusisha na shughuli za sanaa Zanzibar

    Hata mm najiulizaga sana, hivi kweli matusi haya wenzetu wanaona poa tu. Dah. Zipogwe marufuku hata huku bara.
Back
Top Bottom