Jenerali Muhoozi: Uganda ipo tayari kuisaidia Israel

Jenerali Muhoozi: Uganda ipo tayari kuisaidia Israel

Muhoozi Kainerugaba, mwana wa rais wa muda mrefu wa Uganda, Yoweri Museveni na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Uganda (UPDF):

"Tunataka vita vya Mashariki ya Kati viishe sasa. Dunia imechoka navyo. Lakini mazungumzo yoyote ya kuiangamiza au kuinyonghonyeza Israeli yatatuingiza vitani sisi tukiwa Upande wa Israeli!"
Wanaitetea israel akili zao wote zinafanana
 
Muhoozi Kainerugaba, mwana wa rais wa muda mrefu wa Uganda, Yoweri Museveni na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Uganda (UPDF):

"Tunataka vita vya Mashariki ya Kati viishe sasa. Dunia imechoka navyo. Lakini mazungumzo yoyote ya kuiangamiza au kuinyonghonyeza Israeli yatatuingiza vitani sisi tukiwa Upande wa Israeli!"
Huyu mtusi kwa majivuno hajambo apeleke kwanza umeme vijijini
 
Back
Top Bottom