Recent content by Calvinelly

  1. C

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Naona kama Liverpool tunamaliza trophyless mwaka huu
  2. C

    Riwaya: Hekaheka za Komando Zedi Wimba na Jasusi Honda huko Somalia

    Aisee kazi inatia Hamu kusoma
  3. C

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Nadhan Ubora wa rais ni kwa wananchi wake ..,,,hakuna nch inaitwa Afrika mashariki so hakuna criteria ya kupima Ubora labda mapambo ya mabeberu tu
  4. C

    Riwaya: Hekaheka za Komando Zedi Wimba na Jasusi Honda huko Somalia

    Mungu akubariki ndugu kazi imesimama sana nimependa mtiririko wake uko Poa sana
  5. C

    Simulizi:The President and I(Mimi Na Rais)

    Nadhan Joe should be the president na sio Habibu
  6. C

    Simulizi:The President and I(Mimi Na Rais)

    The story is good but very predictable & relatable
  7. C

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Aisee kuna dalili ya ubingwa kama tukiendelea hivi
  8. C

    Jasusi Honda ndani ya mpango wa Congo

    Mzigo umesisisma sema tu unatoka kidogo kidogo sana haikati KIU Kabisa
  9. C

    Msaada kupata movie zilizotafsiriwa na Rufufu

    Jaman ukipata nijulishe mwenyewe nizitafuta mpaka bac
  10. C

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Liverpool wananipa raha
  11. C

    Nyuma yako - Riwaya ya SteveMollel

    Duu Steve arosssto kali
  12. C

    Uzalendo: Leo ni siku ya furaha sana kwa Capt Peter Mapunda, atasafiri bure kwa ATCL maisha yake yote

    Labda nirudie kusoma Nitaelewa ulichoandika hapa naona ..Chuki tu
  13. C

    Je, Ni sahihi ndege hizi kupewa jina la 'hapa kazi tu'?

    Jaman tufike mahali tumpongeza Rais wetu anajitahidi sana ....kwenye ndege pale kuna maneno mengi tu mbona HAPA KAZI TU ndio inaleta shida Mie Nadhan wanahimiza watu wajishughulishe
Back
Top Bottom