SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,803
- 25,444
- Thread starter
- #221
Karibu sana mkuuNitakutumia kesho maana nahitaji kuisoma yote kwakuwa kuanzia keshokutwa nitakuwa safarini kwenda dsm itanifariji sana
Karibu sana mkuuNitakutumia kesho maana nahitaji kuisoma yote kwakuwa kuanzia keshokutwa nitakuwa safarini kwenda dsm itanifariji sana
Karibu sana mkuu
Huna vodaKaribu sana mkuu
Nnayo. 0745 08 08 10Huna voda
Fafanua mkuuNgoja afundishwe mtu adabu na kazi tupatie hapo
Fafanua mkuu, Steve amekosa nini? au kwa kufanya biashara humu bila kulipa kodi? Au kafanya makosa ya kutuma namba za Simu. Naomba busara itumike kabla ya kumuhukumu. Steve bado tunamuhitaji humu - JFNgoja afundishwe mtu adabu na kazi tupatie hapo
Anamaanisha kwenye riwaya jamaa kaomba kazi ya ulinzi atajaribiwa kwa kupewa mtu apigane naye. Ndio atamfunza adabuFafanua mkuu, Steve amekosa nini? au kwa kufanya biashara humu bila kulipa kodi? Au kafanya makosa ya kutuma namba za Simu. Naomba busara itumike kabla ya kumuhukumu. Steve bado tunamuhitaji humu - JF
Mi nimeshindwa kujibu nimebaki navunja mbavu balaaAnamaanisha kwenye riwaya jamaa kaomba kazi ya ulinzi atajaribiwa kwa kupewa mtu apigane naye. Ndio atamfunza adabu
Ngoja tukae kimyaMweee wapenda vya dezo tumetoswa....poa Mna steve acha tujipange kukutumia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa tuliombali na tz tunafanyeje??mmh..jamani Tevie... ameongea vizuri tu...
Tumchangie 2000 ...anakutumia kwa whats up..
Kwa huyu ni sawa kufanya hi yo maana ameshaposti hadithi nyingi sana humu bila malipo yoyote.
Tujikaze kidoogo kwa hili basi wakuu... na yeye apate walau nguvu kidogo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ...sasa...