Recent content by Calvin John

  1. Calvin John

    Arsenal Vs Bayern Munich. Tutabiri

    Bado maafaa yataendelea kuwakumbua Waingereza wengine leo...... Naweka kete yangu kwa Guardiola leo....Bayern Munich 2-0 Arsenal
  2. Calvin John

    Man city Vs Barcelona @Etihad Stadium

    Ni mechi nzuri ambayo haina utabiri wa kirahisi..Ila Manchester City nawapa kete yangu kuweza kuibuka mshindi leo..Hii ni kutoka na kasi na nguvu ya uchezaji wao..City licha ya kumkosa Aguero na Fernandinho na nikiingalia safu ya ulinzi ya Barca sidhani kama Negredo au Jovetic au Dzeko kupata...
  3. Calvin John

    Elimu ya bure kuhusu Azam TV

    Mkuu dr samg...je ina stesheni ambazo zinaweza onyesha ligi mbali za mpira wa miguu ulimwenguni kama ligi kuu England??
  4. Calvin John

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hahahahh..Mkuu Nzi nimeipenda hiyo..
  5. Calvin John

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hahahahh..Hapana mkuu Kukamido...Sidhani kama Gunners wana kikosi kibishi ambacho kipo tayar kuizuia Liverpool...Nimefurah kusikia kuwa Flamini amerudi ila bado kuna mapungufu mengi ambayo nadhani Liverpool watayatumia kama mwanya kuwaumiza leo...
  6. Calvin John

    Bingwa wa EPL

    Mimi ni shabiki wa Chelsea na nipo hapo si kiushabiki bali nina maoni yaliyo si ya kialshabiki.... 1.Arsenal ana nafasi ngumu ya kubeba taji ifikapo mwezi Mei..Hii ni kutokana na ratiba ngumu iliyo mbele yake!..Pia kukosekana kwa Ramsey ambaye alikuwa mfunguji na mchezeshaj mzuri ni pengo kubwa...
  7. Calvin John

    Naombe mnitajie wise names

    Martin Luther King Jr.
  8. Calvin John

    Kuharibika kwa Maadili ya Kitanzania:

    Napishana na dada mmoja hapa Ubungo..Aiseeeeh!!!kavaa kigauni ambacho urefu kwenda chini kinaishia juu ya mapaja akiwa amesimama..Akiwa amekaa ndo malighafi zote zinakuwa exposed nje!!!..Sasa ni kwamba anajielewa mpaka akaamua kuvaa hako kagauni tena mchana sasa au hajui alitendalo au ndo...
  9. Calvin John

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Natabiri Liverpool atashinda 3-1..Wewe je?
  10. Calvin John

    Kwa wapenzi wa documentaries

    Hiyo bermuda triangle ipo nchi gani hapa duniani??
  11. Calvin John

    Unamtext mtu message ndefu yeye anakujibu "K"

    mtu anaejibu hivyo inawezekana akawa amekasirika kutokana na wewe kushindwa kupokea calls zake...
  12. Calvin John

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Arsenal leo una wakati mgumu maana sidhani kama una kikosi imara na chenye nguvu leo kushindana na Liverpool..!! Leo sikupi kete mbele ya Suarez na Sturridge.....Polee
Back
Top Bottom