Hivi unadhani polisi waliogopa mahakama ama kamera za waandishi wa habari na kujitia wanafata sheria kuepuka ya na Nape yasijirudie kwa Lisu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza kaliaibisha jeshi la polise kwa katumia nguvu kubwa pasipo sababu ya msingi pia na anaonekana hajui majukumu yake maana kazi ya polise na kulinda raia na mali zao na kazi ya kulinda nchi ni jwtz na hizo risasi alipe ni kodi zetu wananchi
Toka alivokula rambi rambi tena akawambiwa wafiwa wa wanakagera wenye majozi mwafaa mbaya zaidi alivoenda zindua mabweni ya magufuli huku ikirushwa live huku maziko ya polise walio uwawa yanafanyika ndio nilipo pata picture halasi ya maneno Hashim Rungwe " hii inchi inaongozwa na tabia na...
Huu msiba umetuumiza watu wote hasahasa ndungu wa karibu lakini kuanza kulaumu watu pasipo uthibitisho kwamba wametolewa kafara sijui free mason sijui mkuu wa shule hii haisaidi bali itajenga chuki na kuzidisha machungu kwa waliofiwa ambayo labda ingeepukika kama watu wangekaa kimya na...
Msichana kusomesha nikujitakia ugonjwa wa moyo kuna jamaa alimsomesha msichana ikiwa na imani kuwa msichana badaye aje wasadiane kwenye maisha kwa kuwa walikuwa na mpango wa kuishi pamoja basi kumbe dem ana yake kichwani baada ya kumaliza tu chuo akapangiwa kutuo cha kazi basi jamaa akajipiga...
Hizi kelele ni kero japo watu wanasema ukipinga una mapepo ila hapana kwani mtu ukifanya ibada zako lazima ufungulie sauti kubwa na uwakere watu wengine
Kweli mshahara mdogo kwako maana hawa wenywe hawadai kuongezewa mshahara wenyewe wanadai posho ya vinywaji wakati watu wengine hata posho ya nyumba hawapewi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.