Freema Agyeman
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 3,666
- 3,532
Rais ametumia busara kudelegate msiba kwa mkuu wa mkoa na viongozi wengine.
Hivi Rais akianza kuhudhuria kila msiba ili awaridhishe watu na kuonyesha 'utu' wake, kila siku atajikuta yupo msibani. Kweli ni msiba wa watoto wetu, inauma sana kupoteza vijana wetu wadogo, hazina ya Taifa. Je na wale waliofariki kwenye ajali iliyofuatia kutokea Tanga Jumapili nao si ni Watanzania, wazazi, walezi na watoto pengine. Nao ufanywe msiba wa Taifa, bendera iwe nusu mlingoti na Rais ahudhurie msibani kuwapa pole wafiwa.
Whats next kwa vifo vingine ? Ndio maana hata kule Bukoba baada ya tetemeko hakukimbilia kwenda. Angekwenda leo angekua kwenye lawama kubwa kulaumiwa ubaguzi wa misiba.
Hivi Rais akianza kuhudhuria kila msiba ili awaridhishe watu na kuonyesha 'utu' wake, kila siku atajikuta yupo msibani. Kweli ni msiba wa watoto wetu, inauma sana kupoteza vijana wetu wadogo, hazina ya Taifa. Je na wale waliofariki kwenye ajali iliyofuatia kutokea Tanga Jumapili nao si ni Watanzania, wazazi, walezi na watoto pengine. Nao ufanywe msiba wa Taifa, bendera iwe nusu mlingoti na Rais ahudhurie msibani kuwapa pole wafiwa.
Whats next kwa vifo vingine ? Ndio maana hata kule Bukoba baada ya tetemeko hakukimbilia kwenda. Angekwenda leo angekua kwenye lawama kubwa kulaumiwa ubaguzi wa misiba.

