Kumbe hujanielewa Mkuu.sijasema Niko kimboka nanunua Malaya..kumpenda mtu sio dhambi kwa yeyote yule.jiuleze kwenye biblia kuna sehemu imeandikwa wap utampata Mke mwema?
Tuko chuo na wote ni mwaka wa kwanza.ukwel nampenda sana.ila yuko serious muda wote.nilimwomba namba kanipa ila kuna limjamaa lina msomesha tena pemben yang tu .nipen mbinu naoa nikipata huyu mwanamke .
Jaman Tz nan katuroga? Mtu asema mitandaon kuna uzwazwa mwingi.na bado yy anaongeza uzwazwa mwingine...hata kama NI mpiga kinubi wa mfalme anapokosea kubali maisha yaendeee..hauna namna ya kuuaminisha uma uchafu kuwa usafi..Ana upendeleo tena wa wazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.