Utafiti mpya unaonyesha kua wanaume wa kanda ya ziwa hupewa kipaumbele kikubwa na sehemu kubwa ya wanawake wa Tanzania.
jamiiforums.com Aug 4, 2019 2:40 PM
Naunga mkono hoja hata marafiki zangu wooote huwa wanapenda Sana kuolewa na wasukuma au wakurya, na husema kuwa Mkurya anajua kutunza...
Hayo ndo kila simu tunasemaga maigizo na kutaka sita zisizokuwa na kichwa wala miguu, habari kwamba hela imerudishwa huu Ni asanii tupu, kinachofanyika Ni kuwa Taasisi zote za serikali zinazopata fedha za umma toka Hazina kila moja inakuwa na budget yake ya mwaka nzima na ktk hiyo budget sio...
Arusha Rechnical College??? Ndo nini??, Watu WA majungu na visokorokwinyo kama wewe mnafaa kuchomwa Moto na majivu yako yatupwe katka vilindi vya bahari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.