Recent content by byancas

  1. byancas

    Mnaojenga nyumba, kuweni makini na watu mnaowaomba wawalindie nyumba zenu

    Hata Viwanja Mkuu, ukienda kununua ukakuta mmiliki ni wale vikongwe, basi utalipia halafu mwiso wa siku ukiondoka unasahau kama ulinunua Kiwanja hadi eneo husika
  2. byancas

    GE2020 Balozi wa Marekani nchini ashitushwa na kusikitishwa na matukio ya uonevu wa Vyombo vya Dola dhidi ya wananchi Zanzibar na kwingineko Tanzania

    Mnapoteza Muda, Uonevu kafanya Ilan kwa kuangasha ndege iliyojaa abiri wake na watu wakaandamana na kuwapiga na hiyo the Mahakama yenu kimyaa itakuwa nyie wachache
  3. byancas

    Wafanyakazi tuliofukuzwa kwa madai ya vyeti fake bila kulipwa mafao mwaka huu tuungane kuifuta CCM

    Wasiokuwa na vyeti feki wengi wamerudi, acheni uongo, yaani utakuta jitu limefoji ma vyeti halafu analia lia tu humu, jizi tu ilo
  4. byancas

    Dkt. Mwele: Kipimo ulichokicalibrate kwa ajili ya COVID kitapima COVID ukiingiza sampuli ambazo siyo umeivuruga! Majibu yatakuwa hayana mantiki!

    Sasa mbona kuna video china zinaonyeshaa jamaa wanapima kwenye kuta za chumaa kama lift na walijuaje kama virus vinakaa kwenye chuma masaa nane ?
  5. byancas

    Kikwete alidhohofisha CCM Wapinzani mkashindwa iangusha ni ngumu sasa Kipindi CCM ipo Imara

    Mie naona ametumia Kigezo cha Uchaguzi wa 2015 ambapo hata Mgombea wa CCM kipindi alikuwa anafanya kila jambo ili apate kura, wana CCM walikuwa hawawezi hata kuvaa nguo zao kwa kuhofia kupigwa au kuzomea, ila tokea jamaa aingine madarakani, hakuna mtu wa kumzomea mwana CCM kama kile kipindi...
  6. byancas

    Tahadhari ya mvua kubwa kwa siku tano kwa mikoa ya Kanda ya Ziwa yatolewa

    Taarifa kama hii ikishatolewa kie kitengo cha Maafa kilitakiwa kiwe na timu ambayo ishajiandaa kwa lolote katika hiyo miko na tusisubiri mpaka iwe ishatokea, pia kuna umuhimu sana watu kupewa elimu juu ya mambo ya majanga kama haya ya Mvua na namna watakavyojinasua, pia kuwe na Collection point...
  7. byancas

    TARURA mnatesa wakandarasi, tulipeni pesa zetu

    Una uhakika kuwa TANROADS wanatumia EPICOR sasa hivi au ndio maneno ya kuambiwa?
  8. byancas

    Huu mti unaitwaje na matumizi yake ni nini?

    Mdodoki unatambaa chini mkuu, jamii yake kama Maboga yanavyotambaa sio huo
  9. byancas

    Je, Mwalimu au Mtumishi yeyote wa Serikali anahitaji ruhusa ya Mwajiri kusafiri nje ya nchi akiwa likizo?

    Nachojua na kinachotakiwa kufuatwa ni lazima katika likizo yake angesema kama atasafiri na paia angeomba kibali cha kusafiria nje kwenda kwa katibu wake, Vibali vinapatikana kwa urahisi tu mbona, anaandika barua kwa Katibu wake mkuu kuomba hiyo ruhusa ya kusafiri nje ya nchi withn few days tu...
  10. byancas

    Yani nimekasirika kinomaa. Wanawake acheni hii tabia

    ungekuwa kila siku unamsumbua unamuomba Tigoo tu hutaki kingine mwenyewe angesepaa huyo
  11. byancas

    Tabia ya Wanaume kusimuliana kuhusu waliyemgegeda haifai

    Haaa haaa mnawanyanyasa sana
  12. byancas

    Tabia ya Wanaume kusimuliana kuhusu waliyemgegeda haifai

    Ila nyie ndio mnaongoza sana kwa kusema yule Kibamia
  13. byancas

    Ni mtandao gani wa kijamii una wanawake wazuri

    Nenda Tinder ndio kila kitu hakuna fake kule Sent using Jamii Forums mobile app
  14. byancas

    SWALI: Wanaume mpewe nini muache kuchepuka?

    Tunda alilolishwa Adam Na Hawa tukipata tu basi tunaacha
  15. byancas

    Meseji (SMS) za dawa za Kiganga: Je, hawa ni matapeli? TCRA mko wapi? Namba wanatoa wapi?

    Mie mwenyewe nina laini ya Voda huwa natumia kwa ajili ya data tu na sijawai mpigia mtu lakin majuzi nashangaa nimechomeka modem msg hiyo ta hao matapeli nilijiuliza sana aisee sijui wameijuaje hiyo namba, Vodacom inabidi wajiangalie kwa jicho la tatu
Back
Top Bottom