Getang'wan
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 3,075
- 3,413
huu mti ni tofauti na mti wa dodoki,Aiseeeee.....umenikumbusha mbali sanaaaa mzeeeeeee...................
M naufaham kwa jina la mdodoki,na hlo tunda() tulikuwa tunatumia kama brash la kujisugulia wakati wa kuoga,kufua na kuoshea vyombo.
Good unaitwa Kigelia Africana botanical name yakeSoussage tree.
huu mti ni tofauti na mti wa dodoki,
Umechanganya desa mkuu, dodoki halioti kwenye mti mkubwa kama huo...lenyewe linakuwa linaota kwenye mmea ambao unatambaa na kujifunga kwenye miti mingineAiseeeee.....umenikumbusha mbali sanaaaa mzeeeeeee...................
M naufaham kwa jina la mdodoki,na hlo tunda() tulikuwa tunatumia kama brash la kujisugulia wakati wa kuoga,kufua na kuoshea vyombo.
Mdodoki unatambaa chini mkuu, jamii yake kama Maboga yanavyotambaa sio huoAiseeeee.....umenikumbusha mbali sanaaaa mzeeeeeee...................
M naufaham kwa jina la mdodoki,na hlo tunda() tulikuwa tunatumia kama brash la kujisugulia wakati wa kuoga,kufua na kuoshea vyombo.
Huwa sikisii.Bibi wa ccm nawe umekose
SWISSME
Watu dodoki wanalifahamu likiwa sokoni, ila kiukweli miti / mazao mengi ya asili yanapotea yaani miaka ya nyuma midodoki ilikuwa inaota tu hadi uswahilini lakini siku hizi kuuona ni issue zaidi ya dodoki lenyewe kulikuta sokoniMdodoki unatambaa chini mkuu, jamii yake kama Maboga yanavyotambaa sio huo
Kwa kisukuma unaitwa NG"WICHA. Usukumani ipo kwa wingi miti ya hii! Sisi tumezaliwa tukaukuta upo kwenye shamba la Babu. Uliuona wapi?
Wote viumbe.Yaweza kuwa wewe ni jini
SWISSME
Mbona umetamka jina lake kama kwetu?Ni kweli, ni miti miwili tofauti, na kwa wale ambao hawajakulia kijijini hawawezi kamwe kujua huu mti, na kama mchangiaji mmoja alivyosema hapo juu na sisi pia hutumika kuongeza damu mwilini, matumizi mengine sijui. Sisi tunaliita "Lisamwa" kwa kiluga chetu.
Sio huo mkuu...mdodoki ni madogo ayo ni makubwa yanafikia adi kilo tatu.Aiseeeee.....umenikumbusha mbali sanaaaa mzeeeeeee...................
M naufaham kwa jina la mdodoki,na hlo tunda() tulikuwa tunatumia kama brash la kujisugulia wakati wa kuoga,kufua na kuoshea vyombo.