Recent content by Bwojo

  1. B

    Natafuta shule inayofundisha watoto wenye Autism

    Kwa Wana JF. Kwa yeyote anayejua shule inayofundisha watoto wanao elewa taratibu(slow learner)wengine wanita AUTISM naomba anifahamishe. Ahsante.. Bwojo
  2. B

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2017/18

    wana JF. Ni kozi gani nzuri chuo kikuu kwa mtu alyefaulu CBG, kwa kupata C,D;D Ahsante bwojo
  3. B

    Form 4 na wengine, angalieni hapa!

    Wana JF.Naomba mwenye uzoefu. Hivi unaweza kusoma Udakitari au masuala ya afya kama umechukua combination ya CBG? ahsante Bwojo
  4. B

    Maombi ya kujiunga na Vyuo vya Afya mwaka 2015/2016

    Wana JF. Wenye uelewa naomba msaada wa mawazo hivi mtu akisoma Combination ya CBG anaweza kwenda chuo cha afya/utabibu?Bwojo
  5. B

    Masomo ya Tahususi (combination)

    Habari wana JF. Nina Kijana wangu amemaliza Form Four Mwaka huu na kupata Div. 2. Anataka kusoma PCB. lakini Physics amepata D ,na masomo ya Kemia na Biolojia amepata C na B. Naomba wenye uelewa anisaidie kama anaweza kwenda Form FIVE kwa hiyo combination? Ahsante.Bwojo
  6. B

    Ajira ualimu 2015

    :decision:walimu walomaliza cheti mei 2015 watahajiliwa lini
  7. B

    Natafuta vocational skills training school

    nDUGU; Nina kijana wangu ni slow learner amemaliza darasa la saba.Mwenye kujua chuo au shule zinazopokea vijana wa jinsi hiyo anajulishe. Bwj:lock1:
  8. B

    Somo la Kompyuta shule za sekondari

    Wana JF. Habari, naomba mnijuze mnao elewa mfumo wa elimu TZ. Kuna combination ya A' level inayo jumuisha somo la Computer. Bwojo:thinking:
  9. B

    Walimu wa Tuition Wanahitajika

    nI MEIPENDA
  10. B

    Anatafuta Kazi ya Ualimu

    Nina kijana msichana amemaliza Ualimu wa shule za Msingi. Anatafuta kazi ya kufundisha wakati anasubiri kupangiwa kazi serikalini mwaka kesho.Anaishi Temeke.Nitashukuru wa JF kwa kunisaidia.Asante.
  11. B

    Kwanini Lissu, Mnyika, Slaa na wengine hawakuwepo kwenye mapokezi ya Lowassa?

    Wenye chama chao walishapanga mikakati yao;wanajua kuwa hiki kipindi ni tete hivyo wale wabunge wao hawatakuwa na option nyingine ila kukubali matokeo.
Back
Top Bottom