Kwa Wana JF.
Kwa yeyote anayejua shule inayofundisha watoto wanao elewa taratibu(slow learner)wengine wanita AUTISM naomba anifahamishe.
Ahsante..
Bwojo
Habari wana JF.
Nina Kijana wangu amemaliza Form Four Mwaka huu na kupata Div. 2. Anataka kusoma PCB.
lakini Physics amepata D ,na masomo ya Kemia na Biolojia amepata C na B.
Naomba wenye uelewa anisaidie kama anaweza kwenda Form FIVE kwa hiyo combination?
Ahsante.Bwojo
Nina kijana msichana amemaliza Ualimu wa shule za Msingi. Anatafuta kazi ya kufundisha wakati anasubiri kupangiwa kazi serikalini mwaka kesho.Anaishi Temeke.Nitashukuru wa JF kwa kunisaidia.Asante.
Wenye chama chao walishapanga mikakati yao;wanajua kuwa hiki kipindi ni tete hivyo wale wabunge wao hawatakuwa na option nyingine ila kukubali matokeo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.