Sweetbeth Lazaro
Member
- Oct 14, 2015
- 87
- 18
kwa vyuo vya afya DDD unaenda kakajamani mm Nina D ya phy,chem,bio,math eng Nina c na mengine Nina A na B nataka clinical officer je napata
kwa vyuo vya afya DDD unaenda kakajamani mm Nina D ya phy,chem,bio,math eng Nina c na mengine Nina A na B nataka clinical officer je napata
Kuna Sekomu wametangaza ngazi ya diploma in nursing na clini al medicine kuna intake mbili ya April na october ingia www.Sekomu.ac.tzWaheshimiwa naomba tufahamishane tetesi za ni lini wana anza kutuma maombi ya kujiunga na vyuo vya afya.
Inawezekana kabisa tena kwa ngazi ya diploma.mm nmemaliza 2014 nna
phy-C
chemistry-C
biology-C
math-E
naweza somea kozi za afya?
kama inawezekana je ni kwa cert au diploma?
na vyuo vip vizuri pamoja na ada zake?
pia naweza pata chuo cha serikali?
chemistry C , bios C phys D kwa PCB
eh! vp sasa kwa hiyo comb naenda five ?Doh!!karbu rafk...dada zako tuko huku(PCB)
Doh!!karbu rafk...dada zako tuko huku(PCB)
eh! vp sasa kwa hiyo comb naenda five ?
Hamna shida utasoma tu japo si kila chuo, kuna baadhi wanakubali na vingine havikubaliWana JF.
Wenye uelewa naomba msaada wa mawazo hivi mtu akisoma Combination ya CBG anaweza kwenda chuo cha afya/utabibu?Bwojo