Habari zenu wana JF,mimi ni msichana ambaye nina mchumba wangu tunakaribia mwaka na nusu sasa katika mahusiano yetu, hatujawai fanya mapenzi ila huko nyuma niliwahi kuwa na mpezi na nikasex nae, tukaachana baada ya kumpata huyu yeye anasema tusigusane hadi tufunge ndoa, na ni mwaka na nusu sasa...
Yaan m naona kama umethbitsha anakupenda, nawew mpende tuu,waschna tumetofautiana,yamkin ndio mungu kakuletea uyo,ila kwa htua ya awali usimuonyeshe kuwa unampenda saaana,yaaan kama cm kumpgia iwe kias,kama n kumpa ela kias,kama n msg kias,
Soma vtabu sana vya kingereza,alaf tafta mtu anejua kuongea ,ongea nae mara kwa mara,hta kama unakosea usjar,kujua kingereza cha kuongea kunahitaj juhud binafs,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.