Nahitaji kazi ya international relation

Nahitaji kazi ya international relation

Kama nikiombwa ushauri, kamwe sitamshauri mtu asiye na connection nzito nzito kusoma IR. Bora mtu ukasome PSPA au PA Kisha ukimaliza ukasome Diplomasia pale Kurasini. IR kwa Tanzania bado sana.......
 
.....Kwahiyo una diploma ya international relationship,
..si ndio?
 
Hiyo kozi bora ingefutwa tu! Wengi waliomaliza degree pale udom ilibidi kusoma post graduate ya education tena ili kupata ajira ya ualimu! Hii kozi kama kwenu masikini ujue unajiongezea umasikini! Sina hamu nayo!!
 
Hiyo kozi bora ingefutwa tu! Wengi waliomaliza degree pale udom ilibidi kusoma post graduate ya education tena ili kupata ajira ya ualimu! Hii kozi kama kwenu masikini ujue unajiongezea umasikini! Sina hamu nayo!!
Mhh
 
Back
Top Bottom