Watoto si malaika bali hawana dhambi. Kwa maana kwamba yote wanayoyafanya sio matendo ya hiyari. Ni hatua katika ukuaji. Sio uchoyo bali umiliki wa kitu kama wadau walivyosema. Ila kwa wanaoongea huwa wananakili matendo na maneno yanayotokana na jamii wanayoishi. Nawasilisha
Kwa ushauri wangu kama unaplan kujiajiri angalia kitu ambacho kina uwigo mpana wa kufanya kazi, sio kwamba nakukatisha tamaa ila kuna kazi nyingine kama ajira serikalini hamna unapata kigugumizi kidogo.Jaribu pia kuulizia watu waliosoma field hiyo uone wameajirikaje. Sijaelewa kama tax consult...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.