Recent content by Bushmaster

  1. Bushmaster

    Hii ni Hali ya kawaida au Kuna Tatizo sehemu

    Hiyo inaitwa time travell
  2. Bushmaster

    Ukimfungulia Biashara Mke Wako,Atachepuka Na Wateja Wake

    Hata,kama utamfungia ndani kama ni wakuliwa ataliwa tu
  3. Bushmaster

    Naona aibu kuwaambia ndugu zangu kuwa nimepata mchumba kutoka kabila la warangi

    Lisemwalo lipo usipuuze, maisha ya ndoa yanachangamoto nyingi ila tatzo la kwanza utakua ushaanza nalo, huyo awe tu side chick tafuta wa kuoa
  4. Bushmaster

    Hii imekaaje wakuu? Hapa kosa langu ni nini?

    Weka na video kabisa,tushafungiwa sheria ilishafuata mkondo wake
  5. Bushmaster

    Huyu shemeji yangu alijifanya ananikomoa

    Hakuna mwingine na mimi uniunganishe
  6. Bushmaster

    Nataka kuoa mke wa pili na ninayemtaka kanijibu haya

    Ameenda kuomba ushauri,ila yeye hayupo radhi,na akirudi amekubali atakuja kutafuata maisha
  7. Bushmaster

    Kuna mahali nimeharibu vibaya mno :( , sijui nifanyaje?

    Unataka kushauri au tujishauri,kila jambo linaushauri wake kumkosea mama mkwe ni tofauti na kumkosea rafiki yako
  8. Bushmaster

    Nimeuza kiwanja changu milioni 10, nataka ninunue bodaboda 3. Hii biashara mnaionaje?

    Biashara ya boda boda itakupa unafuu wa maisha kwa mda mfupi, na baada ya hapo utarudi kule kule sababu hela hua inakuja kidogo kidogo automatically hela kama hiyo itakua inatatua changamoto za kila siku,kwahyo kuitunza ni ngumu, otherwise uwe na kazi nyingine ambayo itakufanya utunze hela ya...
  9. Bushmaster

    Nimeombwa namba na sijatafutwa hadi mida hii

    Nilipoteza,nitumie inbox
  10. Bushmaster

    Usipende kukubari kila kitu kirahisi rahisi tu jifunze na kukaza usilegeze kila kitu kaza

    Mkuu usipindishe pindishe sema kilichotokea tukushauri
  11. Bushmaster

    Uswahilini: Mpangaji atangaza vita ya kuiba waume wa wapangaji wenzake

    Kama nawaona hao jamaa wanasubiria kuibiwa,😄😄
  12. Bushmaster

    Nahitaji Ushauri Wenu: Nimejawa na hofu ya ugonjwa wa UKIMWI

    Kama unachokisikia na unachokiona ni tofauti basi amini macho yako
Back
Top Bottom