Recent content by Bushmaster

  1. Bushmaster

    JamiiForums Tanzania Ukiwa na sehemu ya kulala usiku shukuru sana, usiku ni mrefu sana kama umekosa pa kulala

    Kweli kabisa, kuna siku nililala stand iringa na lile baridi sitasahau
  2. Bushmaster

    JamiiForums Tanzania Sinza kujengwa upya. Wamiliki waibua maswali

    Sio Malaya ni wanawake mnaoishi nao huko dar, acheni uvivu pigeni mashine shauri zenu
  3. Bushmaster

    JamiiForums Tanzania Nina mbinu bora kwa watu wa mikeka na ku bet

    Umwage hiyo kanuni hapa hapa,usikute tupo wenyewe tu humu JF, au kama wapo hatuzidi 5, tupe bingo hilo
  4. Bushmaster

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuhusu huyu beki tatu wangu, uvumilivu utanishinda

    Ukiacha kumgegeda siku si nyingi ataondoka, gegeda mzee ndio njia pekee ya kumretain
  5. Bushmaster

    JamiiForums Tanzania Sinza kujengwa upya. Wamiliki waibua maswali

    Si dhani kama kuna mwanaume wa mkoani hana demu dar,mi mwenyewe wapo 10,nikikaa siku 10 kila mtu siku yake, au ndio tuseme wanaume wa dar wanatuangusha
  6. Bushmaster

    JamiiForums Tanzania Jamii ya Kitanzania iache kulazimishana kuongea na watu, kama mtu huyo hapendi

    Walikuambia kwamba ukiongea nao unawasumbua
  7. Bushmaster

    JamiiForums Tanzania Hii ni Hali ya kawaida au Kuna Tatizo sehemu

    Hiyo inaitwa time travell
  8. Bushmaster

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukimfungulia Biashara Mke Wako,Atachepuka Na Wateja Wake

    Hata,kama utamfungia ndani kama ni wakuliwa ataliwa tu
  9. Bushmaster

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naona aibu kuwaambia ndugu zangu kuwa nimepata mchumba kutoka kabila la warangi

    Lisemwalo lipo usipuuze, maisha ya ndoa yanachangamoto nyingi ila tatzo la kwanza utakua ushaanza nalo, huyo awe tu side chick tafuta wa kuoa
  10. Bushmaster

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii imekaaje wakuu? Hapa kosa langu ni nini?

    Weka na video kabisa,tushafungiwa sheria ilishafuata mkondo wake
  11. Bushmaster

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu ambae nilipambana kwa ajili yake anaolewa na in charge wangu

    Tulia kijana,utampata mwingine kuliko
  12. Bushmaster

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu shemeji yangu alijifanya ananikomoa

    Hakuna mwingine na mimi uniunganishe
  13. Bushmaster

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nataka kuoa mke wa pili na ninayemtaka kanijibu haya

    Ameenda kuomba ushauri,ila yeye hayupo radhi,na akirudi amekubali atakuja kutafuata maisha
  14. Bushmaster

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna mahali nimeharibu vibaya mno :( , sijui nifanyaje?

    Unataka kushauri au tujishauri,kila jambo linaushauri wake kumkosea mama mkwe ni tofauti na kumkosea rafiki yako
  15. Bushmaster

    JamiiForums Tanzania Nimeuza kiwanja changu milioni 10, nataka ninunue bodaboda 3. Hii biashara mnaionaje?

    Biashara ya boda boda itakupa unafuu wa maisha kwa mda mfupi, na baada ya hapo utarudi kule kule sababu hela hua inakuja kidogo kidogo automatically hela kama hiyo itakua inatatua changamoto za kila siku,kwahyo kuitunza ni ngumu, otherwise uwe na kazi nyingine ambayo itakufanya utunze hela ya...
Back
Top Bottom