Si dhani kama kuna mwanaume wa mkoani hana demu dar,mi mwenyewe wapo 10,nikikaa siku 10 kila mtu siku yake, au ndio tuseme wanaume wa dar wanatuangusha
Biashara ya boda boda itakupa unafuu wa maisha kwa mda mfupi, na baada ya hapo utarudi kule kule sababu hela hua inakuja kidogo kidogo automatically hela kama hiyo itakua inatatua changamoto za kila siku,kwahyo kuitunza ni ngumu, otherwise uwe na kazi nyingine ambayo itakufanya utunze hela ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.