Recent content by Bushmaster

  1. Bushmaster

    JamiiForums Tanzania Shangazi yangu hadi leo ananichukia kisa mimi niligoma ku-tune Redio Maria, badala yake nilikomaa na XXL ya Clouds FM

    Ungemsikiliza shangazi yako, Shangazi ni baba
  2. Bushmaster

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni, tumbo langu hujaa gesi na kupatwa kilungulila (heartburn)

    Kama hujapata dawa nicheck, inawezakua vidonda vya tumbo au other causes,Dawa ipo na unapona kabisa hata wale wenye matatzo ya kujaa gesi baada ya tendo nichek
  3. Bushmaster

    JamiiForums Tanzania UPDATES: Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva | Mlimani City | 10.07.2026

    F.A kama yupo hovuless hivi
  4. Bushmaster

    JamiiForums Tanzania UPDATES: Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva | Mlimani City | 10.07.2026

    Mpira ukiisha tutarudi
  5. Bushmaster

    JamiiForums Tanzania Najuta kutembea na wallet! Sitorudia kuweka pesa kwa wallet kamwe!

    Tatzo hutoagi ganji kwa wana,ndio maana hawakurudisha
  6. Bushmaster

    JamiiForums Tanzania Ukweli Humuweka Mtu Huru: Nimechoka Kujiuza, Nimechoka.

    Pole,ila ni kama story umeanza kwa kuhitimisha na sio mwanzo, kuna mengi ya kueleza na wengi wakajifunza
  7. Bushmaster

    JamiiForums Tanzania Gawio la Bilioni 61 za NIDA: Mteja wa Mwisho ni Wewe! Taarifa zako Binafsi zinapogeuzwa kitegauchumi na Serikali

    Ndio mana Nida wameacha kutoa vitambulisho vyenye ubora ili watoe gawio, kitambulisho ukikiweka mfukoni kinapukutika
  8. Bushmaster

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Beki alisukumwa refa kameza filimbi
  9. Bushmaster

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Ebana eehh mbona balaa hili
  10. Bushmaster

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Hizi dk za mwisho zinaenda kia ngumu
  11. Bushmaster

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Senegal wapite wakutane na Morocco hukp huko wamalizane
  12. Bushmaster

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Kocha wa belgium ana desa la mbinu,ila naona kashaishiwa
  13. Bushmaster

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Huyu refa ameanza kupendelea belgium break ya maji ni dk 65 yeye amepeleka hadi 70 dk sio fair hii,anataka senegal waishiwe maji
  14. Bushmaster

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Yatima hadeki fight oohh
Back
Top Bottom