Haina ukweli wowote kwa sababu mshahara unaongezeka kwa asilimia sasa serikali haijatuambia imeongeza asilimia ngapi kwa mwaka huu wa fedha maana mwaka jana waliongeza asilimia 41
Tafuta bangi mbichi itwange mpaka itoe maji kisha hifadhi yale maji sehem salama weka tone moja asubuhi na jioni utaona matokeo ndani ya wiki moja nilifanya hivyo kwa mtoto wangu alipona na hajawai kusumbuliwa tena na ugonjwa wa sikio
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.