Tuwasamehe watoto wetu,wadogo wetu wake kwa waume,waliyofanya 2005,siyo wanayofanya sasa,wamepevuka wanachofanyiwa sasa ni kunyanyaswa kwa kupevuka kwao,tukumbuke wao ndiyo wanaleta mabadiliko sasa,..ushauri wangu kwenu,enendeni kwa jamii yenu kila pembe mnapotoka mshitaki kwa wananchi na...