Meitinyiku L. Robinson
JF-Expert Member
- Aug 29, 2011
- 412
- 90
Magamba at work
Hivyo tu basi!
Sasa wewe kweli waweza sema unakitakia mema chama ama waweza sema kwamba unakipenda sana Chama ni kwa nini usifikiri beyond your scope ili uje na ushauri ama mtazamo ambao unaweza kukijenga chama kuliko kuishia kutuhumu mtu ghafla. Ni bora tu usingeandika ukaficha ujinga wako mzee.
You can read what PJ said its very short but long enough to cover the subject matter. Katoa maelezo ambayo hata muanzisha thread naamini hatakuwa na haja ya kuendelea kunung'unika na atakuwa kwa namna moja ama nyingine kapata uelewa mzuri lakini zaidi ya maelezo hayo ya PJ kaishia kumwambia ushauri wake umechukulia thats how a reasonable person or rather member herein suppose to act (if at all your among them).