chadema hili turekebishe!!

Magamba at work

Hivyo tu basi!

Sasa wewe kweli waweza sema unakitakia mema chama ama waweza sema kwamba unakipenda sana Chama ni kwa nini usifikiri beyond your scope ili uje na ushauri ama mtazamo ambao unaweza kukijenga chama kuliko kuishia kutuhumu mtu ghafla. Ni bora tu usingeandika ukaficha ujinga wako mzee.

You can read what PJ said its very short but long enough to cover the subject matter. Katoa maelezo ambayo hata muanzisha thread naamini hatakuwa na haja ya kuendelea kunung'unika na atakuwa kwa namna moja ama nyingine kapata uelewa mzuri lakini zaidi ya maelezo hayo ya PJ kaishia kumwambia ushauri wake umechukulia thats how a reasonable person or rather member herein suppose to act (if at all your among them).
 
Wana-JF, tujue kuwa CDM inaongozwa na watu ambao sio malaika. Makosa kama anayoripoti mtoa mada yanaweza kufanyika ingawa naamini hakuna kiongozi ndani aliyeelekeza jambo hilo kulifanya. Mtoa uzi huu anaonekana amefanya observation hiyo na kutoa ushauri. Sioni ubaya wa ushauri wake. Ni bora tukarekebisha pale panapovuja ili tuweze kuziba mwanya wa magamba kupata cha kuegemea. Tukianza kufikiri kuwa ndani ya CDM ni perfect 100% tutakuwa tunafanya kosa kubwa la kiufundi. Tukubali constructive ideas & observations.

chadema ni chama chetu ni lazima watu wapate ujumbe wa mungu kupitia nyimbo na cdm inalindwa na damu ya yesu, wote wanaotaka cdm isambaratike washindwe na walegee.
 
Sijawahi kuhudhuria mikutano ya Chadema kumbe huwa wanapiga Kwaya!
 
Jamii Forum kwani ni ya wanachadema peke yao? Na hata kama ni ya CDM peke yao jukwaa halikubaliani na kutofautiana kimaoni? Nafikiri wanaCDM tukue kifikra, mawazo tofauti ndio yanayojenga.
Kwenye hili naomba ijadiliwe hoja iliyoletwa mezani na si kujadili mtu aliyeleta hiyo hoja - gamba at work na maneno mengine ya jinsi hiyo yanawanyima wapenzi wengi wa cdm kutoa maoni yao kwa ajili ya kukijenga chama na nchi yetu kwa ujumla.

Peoples power!!!!!!
 
Mimi ni mwanachama wa cdm na mpenda mageuzi kinachonikera kwenye hichi Chama changu ninachokipenda sana!! ni hizi nyimbo za kidini zinazopigwa kwenye mikutano ya cdm napa Arusha sina uhakika na sehemu nyingine ukifika kwenye mikutano hii utazani mzee wa upako au kakobe anahutubia nataka niwakumbushe viongozi wangu na mbunge wangu mheshimiwa lema bado wewe ni mbunge wangu najua wewe ni mlokole lakini kumbuka wanachama wote cdm si wakristo na mikutano ya kisiasa sio ya kidini na wala Chama hakina dini na kwamtu ambaye si mkisto sehemu Kama ile anakua uncomfortable to be honest ingekua wewe ni mkristo na kwenye mkutano wa Chama chako ikawa inapigwa KASWIDA ungejisikiaje? Leo cdm inatakiwa kuunganisha watu wote na dini zote ili kuchukua dola na isifanye makosa ya cuf kuzani unaweza kuchukua dola na watu wa dini moja ili tufike tunakoenda lazima tukosoane na kuelezana ukweli people's power!!
malaria hauanza polepole na malaria sio mzaha!
 
wanapiga nyimbo za dini ili kukimbiza wachawi na mashetani ambayo yanaweza yakawa yametumwa kuja kuvuruga mikutano
 
Wengi wape, kama majority wanafurahia nyimbo hizo hakuna ubaya afterall Mungu lazima awekwe mbele kwenye mapambano haya.

Wasio taka waende CUF au CCM huko ebo!
 
Mimi ni mwanachama wa cdm na mpenda mageuzi kinachonikera kwenye hichi Chama changu ninachokipenda sana!! ni hizi nyimbo za kidini zinazopigwa kwenye mikutano ya cdm napa Arusha sina uhakika na sehemu nyingine ukifika kwenye mikutano hii utazani mzee wa upako au kakobe anahutubia nataka niwakumbushe viongozi wangu na mbunge wangu mheshimiwa lema bado wewe ni mbunge wangu najua wewe ni mlokole lakini kumbuka wanachama wote cdm si wakristo na mikutano ya kisiasa sio ya kidini na wala Chama hakina dini na kwamtu ambaye si mkisto sehemu Kama ile anakua uncomfortable to be honest ingekua wewe ni mkristo na kwenye mkutano wa Chama chako ikawa inapigwa KASWIDA ungejisikiaje? Leo cdm inatakiwa kuunganisha watu wote na dini zote ili kuchukua dola na isifanye makosa ya cuf kuzani unaweza kuchukua dola na watu wa dini moja ili tufike tunakoenda lazima tukosoane na kuelezana ukweli people's power!!
Poteza muda wako kuandika unafiki tu. Nitajie wimbo mmoja wa kwaya au injili ulipigwa ktk mikutano hapa Arusha. Umetumwa na nani wewe kibuyu?
 
Wengi wape, kama majority wanafurahia nyimbo hizo hakuna ubaya afterall Mungu lazima awekwe mbele kwenye mapambano haya.

Wasio taka waende CUF au CCM huko ebo!

Mambo Gloria, nimekupata, ni kweli lazima Mungu atangulizwe mbele kwenye kila jambo na zaidi sana kwenye mapambano kama haya (kama unavyosema). Hata mie ni mkristo na huwa sikosi kuhudhuria mikutano ya CDM, ila FRANKLY SPEAKING hili la kusema majority wanafurahia hizi nyimbo, natofautiana na wewe. Kwani ni lazima kwaya zipigwe kuthibitisha uwepo wa Mungu mkutanoni?? Haitoshi tu kuwaomba ma-sheikh/wachungaji/ mapadre wafanye sala za ufunguzi kisha siasa ichukue nafasi yake??? Na je? Huko CCM au CUF unaposema wasiotaka waende, kwani huko hakuna wakristo wenzako??? Pls Gloria, mipaka ya PEOPLE'S POWER ipo wazi kabisa.
 
Tuwe wa kweli mara nyingi nyimbo zinazopigwa ni za kutoka A . Kusini na hasa kutoka kwenye album ya Sarafina, zina hisia ya ukombozi, sidhani kama ni vizuri kulalamika bila kufanya uchunguzi. Mimi pia niko Atown na ninafika kila mkutano ni ule wa tamko la cdm kuhusu kuenguliwa kwa Lema ndo yalisikika maneno ya wimbo ule na lengo nadhani ilikuwa kujiuliza kwa nn Mungu ameruhusu hili. Ila pia kama kuna maneno mazuri ya kutuamasisha wote na tukaelewa kitamkwacho? Sioni kama ni vibaya kutumika? Cha msingi ni nia ya ndani ya hicho kifanyikacho.
 
Poteza muda wako kuandika unafiki tu. Nitajie wimbo mmoja wa kwaya au injili ulipigwa ktk mikutano hapa Arusha. Umetumwa na nani wewe kibuyu?

(i declare my interest mimi ni CDM)

chama chetu kimefikia hapa kilipo kutokana na mchanganyiko wa michakato na juhudi za aina nyingi sana lakini kikubwa kilichofanya chama kuwa na nguvu hasa hivi karibuni ni kutokana na KUSHINDWA kwa ccm kusimamia maslahi ya wananchi na badala yake kuendekeza ubinafsi na ufisadi, napenda kuamini kuwa ni kwa ubinafsi huu wa chama TAWALA, chadema waliamua kuwa na kauli mbiu zinazo onyesha ushirikishwaji wa wanachi kwa ujumla kama ile ya PEOPLES.... and M4C.

Mambo makubwa yaliyofanya CCM ifikie hapo ni KIBURI, DHARAU, NA MAZOEA kwa viongozi waandamizi na wafuasi pia, hawa nduguzetu kila walipokua wakikosolewa walitoa kauli tata na za kashfa kama..UMETUMWA, WIVU WA KIKE, MTAKULA MAJANI LAKINI NDEGE TUTANUNUA, VIJISENTI, WANANCHI OMBA OMBA,NA MTAJIJU. wanachama pia walitetea viongozi wao kwa kauli hizo hizo za ajabu.Kilichofuata ni anguko na kimsingi wanajiandaa kukabidhi madaraka

MSINGI wa hayo apo juu ni hii tabia ambayo baadhi ya washabiki(wanachama) mmeianzisha,naogopa kusema kuwa tumeingiwa na kiburi cha mwangaza wa mafanikio na kuanza kupuuza hoja za muhimu za baadhi ya wanachama au hata wapinzani wanaotukosoa. Kila thread inayokosoa chama hata kwa mambo yaliyowazi,itapokelewa kwa kauli za kashfa na kejeli hata kama ilikua na lengo la kujenga mwenendo mzima wa hiki chama. Kinachofuata tutaogopa kukosoa na kutunga nyimbo za kusifia tu kama JOHN KOMBA na nyimbo zake kwa magamba, kitu ambacho kinaua utendaji mzuri wa chama.MTOA HOJA ana lalamiko la msingi kama ambavyo wamekuwa wengine waliopita...tungemjibu kwa hoja na si haya maneno ya nayofanana sana na yale ya CCM wakati ule walipokuwa wamejisahau..CDM si malaika na ni vyema ku discuss changamoto mwanzoni kuliko kusuburi mpaka zinapokua zimezoeleka na kuwa TABIA

wenye maskio na mskie.....PEOPLEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEESSSSSSSSSSSSSSSS
 
kumbe Mhe lema mlokole? mwenye uelewa wa kutosha naomba anijuze maana ya ulokole kama hata Godbless yumo!!!!!

Ulitaka mlokole aweje? Tafsiri ya mlokole ni Mjahdina kwa lugha nyingine, na kama hujui tabia za walokole/mjahdeen ni kama kina Mohamad yupo radhi kutangaza vita kutetea kile anachokiona ni faida kwa jamii. Kina Elia ambaye yuko radhi kushusha moto umlambe mwenye dharau, kina Danieli awezaye kuomba hadi simba azimie unatakaje wewe au hujapata hela ya kubadili damu.
 
Mimi ni mwanachama wa cdm na mpenda mageuzi kinachonikera kwenye hichi Chama changu ninachokipenda sana!! ni hizi nyimbo za kidini zinazopigwa kwenye mikutano ya cdm napa Arusha sina uhakika na sehemu nyingine ukifika kwenye mikutano hii utazani mzee wa upako au kakobe anahutubia nataka niwakumbushe viongozi wangu na mbunge wangu mheshimiwa lema bado wewe ni mbunge wangu najua wewe ni mlokole lakini kumbuka wanachama wote cdm si wakristo na mikutano ya kisiasa sio ya kidini na wala Chama hakina dini na kwamtu ambaye si mkisto sehemu Kama ile anakua uncomfortable to be honest ingekua wewe ni mkristo na kwenye mkutano wa Chama chako ikawa inapigwa KASWIDA ungejisikiaje? Leo cdm inatakiwa kuunganisha watu wote na dini zote ili kuchukua dola na isifanye makosa ya cuf kuzani unaweza kuchukua dola na watu wa dini moja ili tufike tunakoenda lazima tukosoane na kuelezana ukweli people's power!!

KAKA ONGERA KWA KUJA NA THREAD NZURI SANA INAYOLENGA KUSTAWISHA CHAMA CHETU....ILA INASIKITISHA KUONA VILAZA WENGINE WANAO JIFANYA NI MASHABIKI WA KUBWA WA CDM KUMBE NDIO WAKWANZA WATAKAO CHANGIA KUARIBU CDM,HUYO JAMAA HAPO JUU KAJA NA TATHMINI NZURI YA JUU YA MWENENDO WA KUKIREKEBISHA CHAMA ANATOKEA....PUNGUANI NA KUANZA KU PONDA BILA YA KUTAFAKARI ANA AMINI CC KAMA CDM TUTAKUWA TUNA FANYA +ve things all the time..!!! NAOMBA TUWE WA ELEWA, WANA JF NA WAPENZI WA CDM JUU YA MAONI YA WANACHAMA,WAKEREKETWA.....JAMAA YUPO VERY MAKINI KULIKO HUYO KILAZA ANAEPONDA BILA FIKIRI.....THANX SANA MLETA THREAD YA KUKIJENGA CHAMA CHETU.
 
mimi sioni tatizo la nyimbo za dini kupwa kwenye mikutano ya chadema, labda kama kuna jingine. au unataka nyimbo za mapenzi?
 
Back
Top Bottom