CCM inateteaje maslahi ya 'wanyonge'? uongo dhahiri!
KAZI KWELI KWELI....Mh LOWASSA ANATAKIWA AZUNGUKE NCHI ZIMA KAMA ATAWEZA CONVICE RAIA JUU YA AMSHA AMSHA YA CDM.KWA MONDULI PEKEE ANAPOTEZA MUDA.BORA AENDE AKALALE TU....
Ukiona mwanaume anajinadi kuwa yeye si shoga hata mahali ambapo jambo hilo halijazungumzwa, basi huyo ni wa kuwa na wasiwasi naye.Mkuu wangu kuna watu walimzushia anahama chama ndio imebidi aje amwage sumu rasmi, maana walisahau kuwa yuko fit kwa mapambano
Hapo kwenye Red. Lowassa amejisahau. Amesahau kuwa Arumeru Mashariki mgombea wa ccm alisimamishwa kimizengwe.
Amesahau kuwa CCM ndiyo iliyosimamia Ardhi ya watanzania kuporwa na wageni.
Jamani Lowassa vipi? Mbona anaiua CCM kwa makusudi? Au hakujiandaa kuzungumza na wananchi?