Tanzania Daima lamshambulia Zitto?

wajameni tusichonganishe wa TZ tawanzania popote walipo ni marafiki achilia mbali tofauti zao za kikabila kisiasa na kiuchumi. Tangua enzi za mwalimu hadi leo. Nasikitika kuna wajinga wachache wanataka watanzania tusishirikiane.
 
wajameni tusichonganishe wa TZ tawanzania popote walipo ni marafiki achilia mbali tofauti zao za kikabila kisiasa na kiuchumi. Tangua enzi za mwalimu hadi leo. Nasikitika kuna wajinga wachache wanataka watanzania tusishirikiane.
Hoja hapa si kushirikiana mageuzi1992 bali maneno yaliyoandikwa chini ya Picha ya Zitto na Kikwete. Kama gazeti limeandika hivyo kusudio lao ni nini? Ina maana kama Slaa na Kikwete wangepiga picha hiyo maneno yangekuwa ni hayo hayo?
 
Last edited by a moderator:
PICHA SI TATIZO: TATIZO SIASA ZA ZITTO za 'opportunism and facemongerism' - siasa za uuza sura ambazo CDM si mahali pake. CDM ni hoja kwa hoja, hoja kwa hoja ...

SIASA za 'gizani' ambazo zimefanywa na wanamtandao tangu miaka ya 1970 ndizo zimeifikisha nchi hii hapa ilipo: PABAYA, MBELE HAIENDI NYUMA HAIRUDI. MTANDAO ulianzisha siasa za gizani kwa sababu moja kuu, nayo ni kwamba NDANI YA CCM kwa kufuata utaratibu wa chama mafisadi hawa hawakuwa na nafasi ya kupata uongozi wa juu. WAO WANAMTANDAO wakaliona hilo, wakabuni mbinu (1) siasa za pesa tena chafu, na (2) publicity, vyombo vya habari kuwatangaza kwamba wao ndio wakombozi, messiah, wetu. KUMBE PUUUUUUUUUUU. WATANZANIA walipokuja kuwagundua mambo yakawa yameisha, wako IKULU.

SASA KWA BAHATI NZURI AU MBAYA MH. ZITTO nae anakabiliwa na mazingira yaleyale yaliyokuwa yakiwakabili WANAMTANDAO, nae ameamua kutumia mbinu zilezile zilizotumiwa na WANAMTANDAO, na yeye ZITTO ameongeza mbinu nyingine CHAFU ZAIDI (kwani ni bidhaa inayogombaniwa na wajinga wengi) ya kwamba ANAONEWA ndani ya CDM, na silaha yake ni eti kwa kuwa ni 'muislamu' na ni 'maarufu'. Gazeti LISIPOMTANGAZA anavyotaka yeye KWAKE LIMETANGAZA vita. KWA TARATIBU ndani ya CDM ZITTO 'si mzito' kama yeye anavyofikiri, siyo kwamba anabaniwa ila kuna 'VICHWA' zaidi yake. KWA MFANO alipokuwa MBUNGE 2005 - 2010 ALIKUWA maarufu kama pop star MICHAEL JACKSON, na sababu ni kwamba, alikuwa peke yake kijana (akisaidiwa na vijana wengine kwa kweli kama MDEE) upande wa CDM na alikuwa na hiyo platform BUNGE. SASA vijana ni wengi BUNGENI na wengi wao kwa uwezo wako mbali sana, wanamzidi. KUPAMBANA NA HILO ZITTO ameanzisha siasa mpya tofauti na alizozifanya 2005 - 2010, kwamba anachukua MSIMAMO wake binafsi tofauti na ule wa chama CDM. KWA MFANO CDM inakuwa na hoja na wabunge wao wanajipanga kwa pamoja kwamba, nani kati yao je, ni MH. MNYIKA au TUNDU au MDEE au MSIKA au ZITTO nk atayesimama kupambana na CCM na SERIKALI YAO. Sasa hapa ndipo tatizo kwa ZITTO anapochaguliwa MH mwingine, yeye atasimama na msimamo wake, na hapa sasa ndipo matatizo yanapoanzia KWA CDM kwani lazima MBUNGE wa namna hiyo ashughulikiwe (lakini kwa silaha ya ZITTO ya uislamu CDM wanajikuta mikono yao imefungwa kwa kiasi fulani).

MIMI napenda kushauri (1) KUWA WANANCHI WATAMBUE KUWA watu wa namna hii wapo wengi kwenye siasa (angalia siasa za KENYA); (2) CDM iongeze juhudi za kutambua 'true characters' za watu wao na 'watu WALIO NYUMA YAO'; (3) hizo characters zioneshwe wazi kwa wananchi ili watu hao WATAKAPOCHUKULIWA HATUA madhara kwa chama yawe madogo; na (4) lazima chama kiendelee kuwalea na kuwaonya vijana kama akina ZITTO kwani wanaamini kuwa wao ni maarufu sana, kitu ambacho siyo kweli, ili waweze KUZINGATIA MSIMAMO wa CHAMA: kama kila mtu atafanya kile anachoona yeye kinafaa, basi chama hakitakuwepo. CHAMA ni msimamo wa pamoja, kama imeamuliwa na CHAMA kwa vikao halali ambamo mhusika alishiriki na kujenga hoja zake ambazo hazikuungwa mkono, basi hana namna bali ni kuunga mkono msimamo wa CHAMA la siyo njia nyeupeeeeeeeeeeeeeeee.


No, kuna kitu hapa hakipo sawa. Si zambi kukutana na na Rais lakini kuna mipaka yake. Hasa ukiwa ni mwanasiasa. David na Ed (both Milband and Balls ) huwa wanakutana kila mara ila sijawahi ona wamepiga picha pamoja (labda washamba na sio wastaarabu). Kuna mpipaka yake kwenye siasa.

Picha ya Zitto na kikwete ina ujumbe ufuatao nao ni kwamba Zitto anamkubari sana Raisi ila watendaji wake ndiyo anaona wana matatizo. Swali kama unaona hivyo na wewe unaipenda nchi kwa nini usiende kumumsaidia?

Najua CDM wanajua kuwa tatizo la nchi hii chanzo ni kikwete na zitto anasema hapana kwa mawazo, maneno na matendo.

Zitto kwa ufupi tu akaokoe jahazi la Raisi ampendaye!
 
Jana channel ten nilimsikiliza Zitto aliongea vizuri kama mtu neutral mwenye imani kubwa na serikali ya kikwete anaamini kabisa tatizo si kikwete ni watendaji wake! Kama wanaccm wanavyoamini! Natilia mashaka dhamira ya Zitto kuifanya CHADEMA chama tawala!
 
Baadhi ya mambo ambayo Zitto hauwezi kumtenganisha nayo ni UMAARUFU na kupenda SIFA. Atafanya kila lililo ndani ya uwezo wake kuhakikisha vitu hivi havichezi mbali nae kwa gharama yoyote ile.
 
Baadhi ya mambo ambayo Zitto hauwezi kumtenganisha nayo ni UMAARUFU na kupenda SIFA. Atafanya kila lililo ndani ya uwezo wake kuhakikisha vitu hivi havichezi mbali nae kwa gharama yoyote ile.

Ashakuwa maarufu toka anasoma sekondari. Kifupi mleta mada anapenda uchonganishi hapendi amani kwani mkitofautiana sera na mitazamo lazima muwe maadui.
 
wabongo bana...kwa hiyo mkiwa wanasiasa kwenye vyama tofauti basi ndio mnakua maadui? mkikutana mahali hamcheki, hamsalimiani?? nitakupa mfano UK, wakati blair ni PM alikua akikutana kwenye party au shuhuli yoyote na opposition leader wakati huo cameron walikua wanaongea wanacheka utafikiri washkaji...ila wakirudi bungeni utafikiri paka na panya...so zitto ana haki ya kucheka na JK, pinda wote hao ila akiingia bungeni yuko kazini...ushkaji unaishia pale nje ya bunge...
 
Me sioni tatizo kwenye picha iliyopigwa na maandishi yaliyopo, wewe ndo unalazimisha tafsiri unayoijua pengine kishabiki zaidi. Otherwise Tan Daima wamefanya vizuri.
 
upo arumeru mkuu? visu, mapnga mshayatupa?
Acheni mambo ya kiK.nina.........
Mlikuwa Busy na CHADEMA, mawaziri wenu wakalamba hela karibia robo tatu ya budget ya serikali,
Sasa badala ya kuwa makini kuongoza serikali mmeanza tena siasa......

in two years mtakuwa mnawafukuza tena mawaziri............wakati huo CHADEMA itakuwa anaimarika kwa wingi!!

Zitto Zittoooo.............

Msaidieni huyu mkwerre hapa!! kashashindwa kazi huyu!!!

KIkwete-kashika-kichwa-anawaza-Global-Publishers-2-Des-20081.jpg
 
Ashakuwa maarufu toka anasoma sekondari. Kifupi mleta mada anapenda uchonganishi hapendi amani kwani mkitofautiana sera na mitazamo lazima muwe maadui.
Kuumbee! Kama ni hivyo basi ni vigumu kumtenganisha na tabia hii ambayo ni ulevi wa kudumu.
 
Kweli kwenye siasa kuna mambo ya kfurahisha,kuchekesha,kuudhi na wakti mwingine yenye kuacha shaka na wasiwasi kwa watazamaji. K
jk%2Bna%2Bmbowe.JPG
weli gazeti la Tanzania Daima leo limetundika
picha ya Rais Kiwete na Mhe. Zitto wakifurahi kwa kicheko ambacho kina weza kupeleka MESSAGE kwa watazamaji kwamba kuna kitu kimejificha ndani ya Vicheko hivyo vya Kiwete na Zitto!

Ni kama vile Kiwete anamwambia Zitto,''Zitto umefanya kazi safi sana niliyokutuma, TUMEWALIPUA WOTE. Watajiju.....!

Sasa ukilinganisha picha hizi mbili ya Zittoi na Kiwete viz a vis na ya Mbowe wakiwa na Kiwete kuna tofauti kubwa. Kuna kitu inaitwa BODY LANGUAGE inayotumiwa na watu wa Human resources management. Kwamba mtu siyo lazima aongee kitu ndiyo umwelewe wakti mwingine MWILI TU UNATOSHA KUPELEKA UJUMBE KWA WAHUSIKA.
 
Baadhi ya mambo ambayo Zitto hauwezi kumtenganisha nayo ni UMAARUFU na kupenda SIFA. Atafanya kila lililo ndani ya uwezo wake kuhakikisha vitu hivi havichezi mbali nae kwa gharama yoyote ile.

Hayo mambo mawili ndiyo ambayo JK anayo na katu huwezi kumtenganisha nayo....Na kingine ambacho umekiacha and they both share in common ni UBISHI na KUJIFANYA KILA KITU WANAKIJUA.
 
Hakuna kitu hapo wewe ni mbeya,watu wapo makini,,,,magamba wapo kazini wanapima joto la chadema....viongozi wa cdm pamoja na zitto pigeni kazi,bado watazusha mengi zaidi hili
 
Sina uhakika saaaana kama wafuasi na mashabiki wengi wa CHADEMA wanautambua mchango wa Zitto katika kuijenga na kuifikisha CHADEMA hapa ilipo, natamani kama akipatika mtu wa kuwaonesha historia ya ujenzi wa chama chenu (CHADEMA) na ushiriki wa Zitto katika ujenzi wa CHADEMA.
 
Back
Top Bottom