Hoja hapa si kushirikiana mageuzi1992 bali maneno yaliyoandikwa chini ya Picha ya Zitto na Kikwete. Kama gazeti limeandika hivyo kusudio lao ni nini? Ina maana kama Slaa na Kikwete wangepiga picha hiyo maneno yangekuwa ni hayo hayo?wajameni tusichonganishe wa TZ tawanzania popote walipo ni marafiki achilia mbali tofauti zao za kikabila kisiasa na kiuchumi. Tangua enzi za mwalimu hadi leo. Nasikitika kuna wajinga wachache wanataka watanzania tusishirikiane.
No, kuna kitu hapa hakipo sawa. Si zambi kukutana na na Rais lakini kuna mipaka yake. Hasa ukiwa ni mwanasiasa. David na Ed (both Milband and Balls ) huwa wanakutana kila mara ila sijawahi ona wamepiga picha pamoja (labda washamba na sio wastaarabu). Kuna mpipaka yake kwenye siasa.
Picha ya Zitto na kikwete ina ujumbe ufuatao nao ni kwamba Zitto anamkubari sana Raisi ila watendaji wake ndiyo anaona wana matatizo. Swali kama unaona hivyo na wewe unaipenda nchi kwa nini usiende kumumsaidia?
Najua CDM wanajua kuwa tatizo la nchi hii chanzo ni kikwete na zitto anasema hapana kwa mawazo, maneno na matendo.
Zitto kwa ufupi tu akaokoe jahazi la Raisi ampendaye!
Wekeni picha. Ili na sisi tulio nje ya nchi tuone
Baadhi ya mambo ambayo Zitto hauwezi kumtenganisha nayo ni UMAARUFU na kupenda SIFA. Atafanya kila lililo ndani ya uwezo wake kuhakikisha vitu hivi havichezi mbali nae kwa gharama yoyote ile.
ukweli ni kwamba kuna kitu nyuma ya paziaKunguru Mweusi,
Hivi mtu akisema wewe na TUMBIRI wa JF ni marafiki wa kufa na Kufaana atakuwa amekushambulia licha ya kuwa mna tofautiana kiitikadi?
TUMBIRI wa JF
P.O BOX PM JF
Acheni mambo ya kiK.nina.........upo arumeru mkuu? visu, mapnga mshayatupa?
Kuumbee! Kama ni hivyo basi ni vigumu kumtenganisha na tabia hii ambayo ni ulevi wa kudumu.Ashakuwa maarufu toka anasoma sekondari. Kifupi mleta mada anapenda uchonganishi hapendi amani kwani mkitofautiana sera na mitazamo lazima muwe maadui.
Baadhi ya mambo ambayo Zitto hauwezi kumtenganisha nayo ni UMAARUFU na kupenda SIFA. Atafanya kila lililo ndani ya uwezo wake kuhakikisha vitu hivi havichezi mbali nae kwa gharama yoyote ile.