Recent content by burhan6196

  1. burhan6196

    Upatikanaji wa fremu za stendi mpya ya Mbezi Luis

    Habari za muda huu, Kwa taarifa niliyoipata ni kua serikali imeanza kupokea maombi ya wafanyabiashara wanaotaka fremu za stemdi mpya ya mabasi Mbezi Luis. Je kuna mtu yoyote anaejua hayo maombi yanapelekwa wapi? Na kwa njia ipi?
  2. burhan6196

    Tunaomiliki salon za kiume Tukutane hapa tuambizane namna ya kuziinua zaidi

    Naomba kuuliza malipo inakuaje? Unamlipa kinyozi mwisho wa mwezi au anakuletea hesabu ya siku? Na akikuletea hesabu ya siku je unalipia ww umeme au umeme analipia yeye?
  3. burhan6196

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Yet has more goals than your striker. Let that sink in🤣 Sent using Jamii Forums mobile app
  4. burhan6196

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    It does concern me as ur talking about the team i love. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. burhan6196

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Adam lallana kwnye lineup[emoji21] Sent using Jamii Forums mobile app
  6. burhan6196

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kabla ya klopp ulikua unashabikia liverpool? Mana after benitez hapa kati looks nothing compared to now. Tunagombania kuingia top4 na tunashindwa kila msimu alaf chini ya klopp liverpool ipo kwnye title race af unasema unamaumivu? Maumivu unayajua ww? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. burhan6196

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kama sio buvac kuondoka, bournmouth wangeshinda leo...[emoji124]‍♂️ Sent using Jamii Forums mobile app
  8. burhan6196

    EMILIANO SALA: je sheria inazungumziaje utata huu?

    Washakiwasha huko Sent using Jamii Forums mobile app
  9. burhan6196

    EMILIANO SALA: je sheria inazungumziaje utata huu?

    Kwa io cardiff wanahaki yakutotoa mpunga? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. burhan6196

    EMILIANO SALA: je sheria inazungumziaje utata huu?

    Kwa ambae hajui mkasa huu upo hivi: Team inayoshiriki ligi kuu ya uingereza cardiff city ilikubaliana transfer ya mchezaji wa nantes ya ufaransa Emiliano Sala. Mazungumzo yote yalikamilika mpaka kufikia cardiff kutangaza usajili wa mchezaji huyo rasmi kabisa. Siku mchezaji anayotoka ufaransa...
  11. burhan6196

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Hio team nayoshabikia isiokua liverpool ni team gani? Iv been a red as far as i remember. Do u know me? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. burhan6196

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Wana LFC JF community kwa nn tusisajili team kwnye #TOTBONANZA??? Sent using Jamii Forums mobile app
  13. burhan6196

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    "He will be out of pace early" Milner uyo? Ivi humuonagi anavyokimbia pale kati kma mwendawazimu au? Yule babu anapiga kazi na ataweza kukava the RB position bila utata. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. burhan6196

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Point after point after point. I love this. Sent using Jamii Forums mobile app
  15. burhan6196

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Clyne ni bang average player. Ni fullback wa kizamani unaweza kusema hivo. Hana msaada wowote going foward. Ukiangalia msimu aliocheza almost mechi zote ali offer not more than 5 assist msimu mzima. Na kwa mpira wa asaivi fullback wa hivo haitajiki. Fabinho natural position yake ilikua ni...
Back
Top Bottom