burhan6196
Member
- Aug 23, 2018
- 65
- 84
Habari za muda huu,
Kwa taarifa niliyoipata ni kua serikali imeanza kupokea maombi ya wafanyabiashara wanaotaka fremu za stemdi mpya ya mabasi Mbezi Luis. Je kuna mtu yoyote anaejua hayo maombi yanapelekwa wapi? Na kwa njia ipi?
Kwa taarifa niliyoipata ni kua serikali imeanza kupokea maombi ya wafanyabiashara wanaotaka fremu za stemdi mpya ya mabasi Mbezi Luis. Je kuna mtu yoyote anaejua hayo maombi yanapelekwa wapi? Na kwa njia ipi?