Recent content by BURHAN SAID

  1. BURHAN SAID

    Kwa watafuta ajira na waajiri wote Tanzania

    Ah kitambo nlishajisajili ila ni moja kati ya jobsite mbovu kuziona wasumbufu kuanzia kujisajiri hadi kuomba Ajira yeñyewe na hupati Ajira yenyewe piuy
  2. BURHAN SAID

    Vijana tusiokuwa na kazi njoo tukutane hapa tujipange

    Mhasibu nipo hapa mambo hayajasonga niambie tukutane wapi
  3. BURHAN SAID

    Kutoka Mwanza to Dar kwa written interview ya watu 174

    Bro kama unajikubali piga kazi achana na haya mambo ya sijui kuajiriwa hiyo elimu uliyonayo itumie kuzalisha kipato binafsi hapa naamanisha km unafanya biashara ya kujikimu kukosa siku kadhaa in loss kubwa na hata tuseme ukiajiliwa utamisi maisha ya kuwa boss mwenyewe hakuna bugudha ushauri...
  4. BURHAN SAID

    Kama kijana hujaaajiriwa pita hapa

    0656263844 add
  5. BURHAN SAID

    Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

    unapouliza viongoz wako wapi unamaanisha nn kwan kiongoz gan unamuhitaj , unaacha kuwasaidia watu unataka viongozi kweli tanzania hatuweza kuendelea kila kitu viongoz hata hili la kuwasaidia wenzetu walionaswa? lawama zingine tuangalie jaman tusikurupuke km tunaamka usingizin
  6. BURHAN SAID

    Lundenga wa Miss Tanzania awaomba radhi watanzania

    Yaan ktk watu wasio na akili timamu huyo si ludenga sijui nan hana kabisa aendelee kufanya mambo yake, samahani ya nini kwani ameswikia watu wanataka samahani yake? Alafu lazma ajue kuwa wa2 sio mambumbu kiasi hicho.
  7. BURHAN SAID

    Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

    sasa ngoja niwaambie wewe na wenzako wenye mawazo mgando km yako kuwa mbumbumbu sio tatizo, tatizo ni kuutumia umbumbumbu wako km wewe hapo usiojua kinachoendelea ila kukoment utumbo, km kitu huna ufaham nacho jiegeshe pemben
  8. BURHAN SAID

    Mashabiki wa Kondoo mwenye maandishi ya Kiarabu wako wapi?

    mbona unaonekana mtu mzima lkn unachotapika hatukuelewi aliekuambia IMANI ya mtu ushabiki nani km mambo huyajui kaa pembeni nayo mbona mnapenda sana chokochoko nyie msie na IMANI?
  9. BURHAN SAID

    Inaumiz kichwa.............................!

    Eti VODACOM wanatoa msada wa pole kwa wazanzibar wakati, Tukio linatokea wao ndo walikuwa wanasherehekea kumsimika miss mpya. Wazanzibar msijaribu kuchukua izo pesa hata wakiomba msamaha hawana haya wala huruma, ningependekeza watanzania kwa umoja wetu tuunde mbinu ya kuhakikisha hatutumii...
  10. BURHAN SAID

    Miss Tanzania na maswali ya papo kwa papo

    ah aise miss Tanzania. kusema kweli mi nataka nizungumzie mavaz yan ni uzalilishaj wa hali juu. wantanzania mulete mabadiliko chanya sio has munatumalizia nguvu za kiume banaa
Back
Top Bottom