Recent content by burdizzo

  1. B

    Top Ten viwanja vya ndege vinavyohudumia Abiria wengi Tanzania

    Manyara ni aedrome sio airport Wala airstrip
  2. B

    Njoo tufanye biashara ya ufuta

    Mwaka huu ufuta utakuwa mchache sababu mvua zimekuwa nyingi hivyo ufuta mwingi umefukiwa na maji mashambani
  3. B

    Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

    Nenda kwa afisa mifugo yeye atakupiga sindano ya mgombe tetracycline 20% Moja tu habari yote kwisha
  4. B

    Ya leo kikaoni usiku pale Utemini

    DAB ni nani
  5. B

    Kwanini kamati za harusi zinaingia gharama kubwa kwa ajili ya MC?

    Anza kwenye ndoa Yako mc awe mjomba wako
  6. B

    Prof Kabudi: Mkoa wa Singida una Mahusiano ya karibu na Zanzibar na Oman, Kilimatinde ya Singida ipo Unguja na Pemba!

    DC wa kwanza wakati wa ukoloni alikuwa dastani omari kutoka masasi
  7. B

    Rais Ruto afanya mabadiliko makubwa Baraza la Mawaziri

    Nashukur Aisha jumwa bado yupo
  8. B

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ni msafi kisiasa; Hana kashfa ya rushwa; anaaminika zaidi na wananchi/dola. Je, tupo tayari kuona mafisadi wanamstafisha?

    Ndiye anayekwamisha biashara ya korosho kusini kwani yeye ananunua kwa bei nafuu kwa mtindo wa kangomba halafu anauza nje
  9. B

    TANZIA Chifu Mongesuthu Buthelezi afariki Dunia

    Alikuwa bado hai Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
  10. B

    Kwanini Mafia isiwe mkoa wa 32 wa Tanzania?

    Miaka ya 80 marekani walileta mafia mradi wa mitamba ulioitwa Heifer Project International Walileta wataalamu wao lengo ni kuchunguza Kama jina la mafia linahusiana na genge maarufu la mafia la sicily Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
  11. B

    Hi I ni kweli ni lazima kuwa Kila mtu anakipaji?mbona Mimi sikijui kipaji changu?

    Kipaji chako ni ukuwadi Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom