better you fall in the good hard hands of God than in the soft hands of the devil.......mwamini Mungu utashinda. Mungu na shetani wote wanakutamani japo mmoja wao ashaanza kukuonesha uzuri wake kwa wazi na mmoja amekuficha uzuri wake japo yupo karibu tu anasubiri maamuzi yako.
Ni mapito ndugu...
naona umezaliwa august 18, 2015 humu jamiiforum..................unajitambua kwa lolote au kwa kuwa mnabadili id kila siku????????????????????????????????????????????????? Hufai kama mr. Chin, hata kama mpo kitengo cha propaganda inaonesha ni jinsi gani mlivyochini na duni sana ku-create...
Xperience
"MWIVI HAJI ILA AIBE NA KUCHINJA NA KUHARIBU; MIMI NALIKUJA ILI WAWE NA UZIMA, KISHA WAWE NAO TELE" Haya ni maneno ya YESU Kristo, ukiamini na kwenda kwake atakutendea kama alivyojitambulisha. Acha kuchanganya........chukua msimamo mmoja tu wala hutakemea pepo kwa kutumia Quran na...
reasoning capacity yako.................labda kwa kuwa wengi hatupendi kufikiri.............., lakini fuatilia idadi halisi ya walengwa na iwapo hatua za makusudi zitafanyika kuwaendeleza kwa kuwajengea uwezo.
utakuwa mdogo wake Mr. Chin/Robethn/Ikungi au TeaMasaburi...................watu tumeshaoanisha vilengeo, stop destructing us from our target................
Robethn
Alikuwepo mwenzako hapa aliandika propaganda sana hadi amepotea tu, anaitwa Mr. chin, mnafanana sana "your ability of flying to low thinking................." hamna lolote jipya kimawazo, mmechakaa kama ccm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.