Napata mashaka hapa! yaani huyo bibie amakwambia kila mwanaume anayemtongoza!? Hivi inawezekana vipi usiijue no. ya mtu anaekusumbua na unasema hupokei cm zake sa unajuaje kama ni yeye na hujui no. hili laweza kuwa changa la macho!!! Halafu na ww unaanzaje kunyanyua simu na kumpigia mtu humjui...
Hivi umeumbwaje!? kwanin unakua mkatili kiasi hicho!? mtu yuko serious anaomba ushaur unamwambia mambo ya ajabu.... Jaribu kutumia busara na kama hujaguswa sio lazima kumshauri
Hongera sana .. Ila uendelee kutukumbuka katika maombi yako ili na sisi tuweze kujishikiza kama sio kupata kabisa mana tumechoka kuosha vyombo na kudeki kila siku... All the best mungu awe pamoja nawe
Pole sana kaka angu amini hiyo ni mitihani tu.
Napenda kukuambia kama kweli mnapendana lazima atarudi tu kwani mapenz ni kitu cha ajabu kama ana true love lazima anaumia ila anatafuta jinsi ya kukufuata... kwani sion sababu kubwa ya kuwatenganisha hiyo ilikua ajali kama ajali zingine! Ila kama...
Ili kuepukana na tatizo hili ni lazima tuwajue vizuri wenzi wetu na kuwaelewa.. naamini ukifanya hivi haitakusumbua!! Pili tujitahidi kujizuia hasira zetu! Kwanini umalize siku mbili au tatu hata mwezi umemnunia mpenzi wako ukiona hivyo sio chaguo lako. Hatukatai makwazo yapo lakini usiku ni...
Mhhh! jaman kabila lina uhusiano gan na tabia ya mtu!? Isitoshe siku hizi watu wanaoana makabila tofauti tofauti kwahiyo wanazaliwa watu tofauti na makabila yao.... Msituponde sana wanyakyusa jamani tabia anabeba mtu sio kabila , shepu na sura ni majaaliwa ya mungu sio kabila
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.