Hakika mapenzi ni darasa tosha, nahitaji ushauri wako!!

Hakika mapenzi ni darasa tosha, nahitaji ushauri wako!!

Very simple!
Ngoja nikwambie mwanamke haitaji ulinzi wa misuli ya mwanaume wake ili kutokuwa na mahusiano na mwanaume mwingine!
Nikiwa sitaki sitaki TU!
Nikitaka hata ufanyeje nitakuwa nae TU!

nadhani hufanya kama njia ya kujihami, ukikuta sms aseme ndo yule....
 
Aaaaaaaaaaaa!! Humu maofisini nini gf, hadi wake za watu wanapigwa free p tu wakijilegeza! Sasa gf wako anaenda ofisi za watu, anacheka cheka, mpasuo huo, mini hizo, anawadolishia wasimtongoze kaka zake wale? Wanamjaribu tu sio kiwa wanamtaka sanaaaa, akiwa strict wanasepa, akiachia wanakamua mzigo na kuzindua album kama kawaida!

Lara 1 upo sahihi sana, mi naona huyo bi dada usikute yupo kimitego sana, jiulize kwanini agandwe yeye tuuu wengine wana nini? Usikute u charming wake pengine na ukaribu wake na hao kaka zake hapo umefanya nao wajarbu fursa... Angekuwa uso mbuzi tu serious wala hacheki cheki na watu sidhan kama wangemfukuzia hvyo maana..nimeongea hvyo kwa ku imagine kutokana na maelezo aliyoleta mleta mada.
 
nadhani hufanya kama njia ya kujihami, ukikuta sms aseme ndo yule....

Tena usikute hata cm huwa anapokea akiwa mbali na b.f wake..mi naona angekuwa anapotezea simu zake hata sms hajibu then akienda job ni salam tu no story huyo njemba angeona tu demu yuko serious..usikute hata hajamwambia kama ana boyfriend!!! Hahahaaaaa
 
Tena usikute hata cm huwa anapokea akiwa mbali na b.f wake..mi naona angekuwa anapotezea simu zake hata sms hajibu then akienda job ni salam tu no story huyo njemba angeona tu demu yuko serious..usikute hata hajamwambia kama ana boyfriend!!! Hahahaaaaa

Sipo naye karibu mkuu, nipo mkoani kikazi!

Ushauri wako nimeupokea.
 
Napata mashaka hapa! yaani huyo bibie amakwambia kila mwanaume anayemtongoza!? Hivi inawezekana vipi usiijue no. ya mtu anaekusumbua na unasema hupokei cm zake sa unajuaje kama ni yeye na hujui no. hili laweza kuwa changa la macho!!! Halafu na ww unaanzaje kunyanyua simu na kumpigia mtu humjui wala huna uthibitisho wowote unaweza ukakutana na vichaa ukadhalilishwa bure.. kuwa makini wanawake tuna mamboo!!!
Kila la kheri kwenye mahusiano yako....
 
Napata mashaka hapa! yaani huyo bibie amakwambia kila mwanaume anayemtongoza!? Hivi inawezekana vipi usiijue no. ya mtu anaekusumbua na unasema hupokei cm zake sa unajuaje kama ni yeye na hujui no. hili laweza kuwa changa la macho!!! Halafu na ww unaanzaje kunyanyua simu na kumpigia mtu humjui wala huna uthibitisho wowote unaweza ukakutana na vichaa ukadhalilishwa bure.. kuwa makini wanawake tuna mamboo!!!
Kila la kheri kwenye mahusiano yako....

Hapo ndipo ninapopata mfadhaiko mkuu, sijui kwanini alinieleza hili jambo,.
 
Uyo anataka ujue tu kama anamahusiano prncpal acc hana lolote umeingia chakike broo
 
Ogopa sana mwanamke anayekuambia mwanaume aliyemtongoza much worse akakupa mpaka number zake za simu!
Take it from me!

Umeoona eehhh??? Alaf nnachojiuliza hivi huko chuoni atongozwi?? Mbona wa chuoni hamuambii??
sio siri huyu mwanamke kashamchukulia mshkaji kama boya hivi!!
 
Sawa kabisa mkuu, nilimuuliza yeye kaamua vipi? Akanijibu hayupo tayari kuwa naye. Tatizo Jamaa bado anamsumbua sana,.

Mimi nipo mkoani kikazi!

Distance relationships will never work out
 
Back
Top Bottom