Ni kweli kabisa. Kuna siku nilikwenda sheli nikanunua diseli ya sh. 50,000. Mwanadada mhudumu akaniambia nakuwekea kwanza ya sh. 10,000. kisha nitakuwekea ya 40,000. Nikateremka kwenye gari kuangalia. Mwisho nilikuwa na risiti mbili moja ya sh.10.000 na nyingine ya 40,000. NIlijiuliza kwa nini...
Misfortunes never come singly (proverb) = Bad things, event, situations, outcomes, etc., almost always arrive in groups of two or more all at once or in quick succession.
Kuna makundi mawili ya Wamakonde. Kundi la kwanza ni Wamakonde wa Mtwara, Newala na Tandahimba. Hawa asilimia 99 ni Waislamu. Kuna kundi lingine ni Wamakonde wanaotoka Msumbiji hawa asilimia 99 ni Wakristo.
Maelezo yafuatayo yapo kwenye pasipoti. "Hii ni kuwaomba na kuwasihi, kwa jina la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wote wanaohusika, kwa kusudi la kumruhusu mwenye pasipoti hii kupita bila kizuizi ama kipingamizi chochote na vile vile kumpa msaada na ulinzi wowote ambao utaonekana kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.