Recent content by bukinda

  1. B

    Pigo kubwa kwa Kenya laja kutokea Tanzania

    Mungu nimwema kila wakati Mungu.
  2. B

    Ushauri: Mke wangu kaniambia mtoto wa kwanza sio wangu na baba yake anamuhitaji

    Pole sana. Mungu azidi kukupa ujasiri na huruma ya moyo usiwe na maamuzi mabaya hata mm nitakuombea kwa Mungu usikengeuke. Omba garama za malezi.
  3. B

    Mil 4 nizitumie kusafiri kwenda Nigeria kwa TB Joshua ili nirudiane na mke wangu Au niitumie kufungua kijiwe?

    Ndugu Tb joshua nibinadamu kama ww tu. Unachezea shilingi chooni.
  4. B

    Fatma Karume: Sitaogopa yaliyomkuta Tundu Lissu

    Mama Karume mbona hujiamini. Kama hujiamini acha kugombea mbona kila mara Tundu Lissu. Gombea kivyako. Mpaka umtaje huyo.
  5. B

    Tukiacha unafiki, hadi leo utawala huu umeifanyia nini Tanzania?! Umewasaidia nini watanzania!?

    Ww bado sana. Unajiuliza nchi imekufanyia nini. Badala ujiulize nchi umeifanyia nn.
  6. B

    Wadogo na kaka wa marehemu Akwilina wateta na Asenga DAS Rombo

    Kuna watu huwa wanajibu mambo kanakwamba wao hawatapata matatizo hapa duniani.
  7. B

    Aida Olomi na mahabusu wanaouguza vidonda vya risasi Polisi Osterbay bila kupelekwa hospitali, Polisi kuweni na utu

    Wewe mama sio mzima. Ulizani kwenye maandamano wanagawaga pipi.
  8. B

    Msaada: Anataka kujiua

    Wasiliana na Chris mauki.
  9. B

    Ushauri: Kichanga wangu analia sana usiku

    Mwanao anasumbuliwa na gesi. Pamoja na njaa. Hashibi maziwa ya mama yake. Huwa yanaisha mchana. Na akiwa ananyonyesha ile chuchu ya mama yake aibugie yote isiiweke jujuu inaingiza hewa wakati ananyonya. Ndio maana anapata gesi tumboni. Pole sana.
  10. B

    Kaka zangu wametembea na mwanamke mmoja

    Wewe dada unamuogopa kaka mwambie
  11. B

    Salim Kikeke siyo kwa ubaya ila ni ushauri tu, punguza mbwembwe na mikogo

    Ndugu kumbe unalako jambo. Umemsema kisa haipendi Liverpool.
  12. B

    Madhara ya vyuma kukaza: Nimeingiliwa na wezi nyumbani na kuibiwa vitu vyangu

    Pole sana. Ndugu yalishanikuta mie. Ikabidi ninunue tu Tv ya Chogo.
Back
Top Bottom