Mwanao anasumbuliwa na gesi. Pamoja na njaa. Hashibi maziwa ya mama yake. Huwa yanaisha mchana. Na akiwa ananyonyesha ile chuchu ya mama yake aibugie yote isiiweke jujuu inaingiza hewa wakati ananyonya. Ndio maana anapata gesi tumboni. Pole sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.