Kaka zangu wametembea na mwanamke mmoja

Kaka zangu wametembea na mwanamke mmoja

Itakuwa mnaishi serious sana na kaka zako, unashindwa hata kuwatania tania!!! Jifanye Kama unatania tu, ujumbe utawafikia na wataulizana wao, na wataweka kila kitu Sawa.
Yaani sana huyu kaka mkubwa ni kama baba wa familia ,Mimi ni kama mama ukizingatia tupo watano mimi ndio mwanamke pekee na ni wapili kwa kifupi majukumu ya familia nimeyabeba mimi na kaka mkubwa.
 
Mpeni notisi waambieni kuwa mnataka kufanya ukarabati kwenye hicho chumba.
 
Huyo mganga feki ameshndwa kubain mkewe analiwa? Ama kweli mganga hajigangi cha kufanya jifanye mnataka kukarabati vibanda kama mbinu ya kumtimua mpangaji
 
Huyo kaka ako mkubwa ndo anatembea nae. Ila huyo mdogo kagonga kisha kasepa
 
Mwanaume wa kweli ukijua mkeo au mpenzi wako analiwa solition na kumuacha tu hayo mambo mengine utapoteza mida tu
Ni kweli Ila wengine wanawaona wale waliomla ndio wabaya
 
Kwa nyakati tofauti fanya kama vile unawahadithia jinsi huyu mama anavyogawa papuchi mtaani tena onyesha wasiwasi kama vile ni victim(HIV), watashtuka na kuacha, la pili tenga muda wa kuomba juu ya hilo, wakiendelea shirikisha viongozi wa dini watawasaidia
 
Pole sana ebu jaribu kumwambia mama ili awaite awaambie au aongee na huyo kaka wa dar kwanza huyo mdada ni mke wa mtu halaf mumewe ni mganga usije ukawapoteza kaka zako
Yaani hili ndio kubwa ndio naliwaza kuwapoteza kaka zangu asante mamy
 
Hao ni watu wazima wanajua wanachokifanya kaa pembeni
 
Inategemea unaposema kaka usidhan ni Kijana kwa kifupi ni mtu mzima mtoto wake wa kwanza Yupo chuo mwaka wa pili
Nikuambie kitu dada cha muhimu muite kaka yako sehemu ya siri mwambie ukweli kwa heshima na adabu bila kumchora kwa watu hata mama yako usimwambie atakuelewa maana ataona umemuheshimu sana
 
Unaogopa nini kumweleza yote a to z kaka yako au unasubiri atakapoanza kuharisha na kupungua ili upate nafasi nzuri ya kulaumu!!? Utasikia mi nilikuwa najua kila kitu ila nilikuwa nakuangalia tu, wakati huo wewe mwenyewe ndiye utakaepata shida kubwa kuuguza mgonjwa , mwambie tu kaka yako kwamba tabia yake aache la sivyo wakati mbanie mbali hukoooo
 
Inategemea unaposema kaka usidhan ni Kijana kwa kifupi ni mtu mzima mtoto wake wa kwanza Yupo chuo mwaka wa pili
Hata kama ana mavuzi ya chuma unampa makavu tu utu uzima wake uko wapi sasa kwa hayo unayoeleza kuwa anayafanya vinginevyo kausha tu lisikupe tabu
 
Dah aisee sasa wewe kinachokuuma nn hasa maana sio kama wanashea mapenzi bali wameshare zinaa wewe hapo unavyoona kuna mapenz? kausha2 maana nadhani wanafaham kama mke wamtu nisumu, na kuhusu huyo mwanamke kama kawaka wee unajuaje kama kaka zako wote wazima yawezekana hao kaka zako ndio wakamuua huyo mwanamke
 
Dah aisee sasa wewe kinachokuuma nn hasa maana sio kama wanashea mapenzi bali wameshare zinaa wewe hapo unavyoona kuna mapenz? kausha2 maana nadhani wanafaham kama mke wamtu nisumu, na kuhusu huyo mwanamke kama kawaka wee unajuaje kama kaka zako wote wazima yawezekana hao kaka zako ndio wakamuua huyo mwanamke
Ni kweli unadhani mumewe akigundua watoto wa mwenye nyumba wanatembea na mkewe ataamua maamuzi gani!!
 
kama unawaogopa kaka zako anza na huyo mwanamke mwambie unajua kila kitu kuhusu yeye na kaka zako na asipoacha hyo tabia utamshitaki kwa mumewe pamoja na kumtimua hapo kwenu
 
Back
Top Bottom