Recent content by bukenyaimo

  1. B

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Bwana HAMIS77,siku zote huwa ninakwambia uache kutupa hope za kijinga humu,uwepo wa Kai kwenye Kikosi ni UHARO kama UHARO wa Bata,uachage kuwajaza wajinga matumaini ya kisenge humu,huwa nakupinga sana Kai ni CHOKO kama MACHOKO mengine tu
  2. B

    Mashirika ya Kimataifa yana faida gani nchini Tanzania?

    Isomeke: Mashirika ya Kimataifa yana faida gani nchini Tanzania?
  3. B

    Mashirika ya Kimataifa yana faida gani nchini Tanzania?

    Kwa mwenye ufahamu wa hili naomba anisaidie kuelewa. Kumekuwa na utitiri wa Mashirika ya Kimataifa nchini. Wiki iliyopita nilikuwa Kasulu na kuona msururu wa magari (Land Cruiser)za Mashirika mbalimbali ya Kimataifa Wilayani Kasulu. Je, yana faida yoyote kwa UCHUMI wa Wana Kigoma na Nch i kwa...
  4. B

    Jokate na Lulandala kuimaliza CHADEMA! Nawaamini kwa mipango na Propaganda

    Huna akili CHOKO wewe,kwa hiyo unaona kikubwa ni kuimaliza CHADEMA na si kuwaletea maendeleo Wananchi??huko kwenu Kakonko tu matatizo yapo mengi,badala ya kuyasemea matatizo hayo unaandika UHARO wa kuimaliza CHADEMA,KENGE wewe
  5. B

    Jokate na Lulandala kuimaliza CHADEMA! Nawaamini kwa mipango na Propaganda

    Nchi ina matatizo mengi sana,lakini kwa akili zako za KIMATAKO ukaona teuzi hizi ni kuimaliza CHADEMA,mazuzu kama ninyi hamtaisha Nchi hii
  6. B

    Manyara: Ajali yaua watumishi watatu wa TANESCO

    Mkuu GOROKO,kama ulikuwa umeajiriwa rasmi kwa nini ufukuzwe kama Mbwa??labda kama ulikuwa unajitolea au ulikuwa unafanya kwa Mkataba au kama kibarua
  7. B

    Hivi mishahara ya mtu wa diploma pale TPDC ikoje..?

    kama kazi zilitangazwa ukaomba basi subiri uitwe Interview ufanye,ukifanikiwa kuitwa kazini Mshahara utaujua ukienda kuripoti!!!sioni kama kuna ulazima wa kujua Mishahara sasa hivi ndugu!!!zaidi ya hapo nilifanya kazi pale siku za nyuma enzi za Mkurugenzi Mkuu Mzee Kilagane,nafahamiana na...
  8. B

    Procurement Supply and Chain Management

    Jifunze kuandika vizuri kwanza
  9. B

    Tujikumbushe ajali ya Treni 2002, Dodoma

    Pole Mkuu,hivi kuna Fidia mlilipwa na Serikali au baada ya mazishi ndio ikawa kimya mpaka leo??
  10. B

    Mke wangu kapata kazi Mkoani!

    Nami wangu ana kichanga na juzi kapata kazi Mwanza[emoji134][emoji134]
  11. B

    Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

    Heeeh,ni Dotto huyu Mpiga debe wa Mwananyamala Manyanya ninaemfahamu mimi au mwingine[emoji134]hakika maisha yanabadilika,nilikimbizana nae sana huyu vichochoro vya Mwananyamala enzi hizo nikiwa M-mwela ili nimkamate na Bangi au Madawa,nilikuwa nikiwakamata wananiachia ganji yangu nawaachia...
Back
Top Bottom