Recent content by Bugge

  1. B

    Kwa nilichokiona jana, ni rasmi vijana tunachapiwa madem zetu na wazee

    Pesa mbele kama Tai, Kama huna utashemejika mpaka uchakae!!
  2. B

    Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

    Mshana, sio kama nakupinga ila tupe sababu za tohara ya utotoni inapelekea vibamia! Binafsi nilifanyiwa utotoni lakini niko sawa sawa.
  3. B

    Tabia za mwanaume akiwa na pesa

    Ni wangapi wanaopata hizo za tatu mzuka?!!
  4. B

    Wanaume msipoacha kuringia uchache wenu mtabaki wenyewe!

    Huu ni mwanzo tu picha yenyewe bado...
  5. B

    Wanaume msipoacha kuringia uchache wenu mtabaki wenyewe!

    Haya banah, ila nina mashaka huo muda unaosema utabaki kwenye maandishi tu.
  6. B

    Wanaume msipoacha kuringia uchache wenu mtabaki wenyewe!

    Mkuu kumbe majibu mubashara tayari mmnayo...mnachelea nini kwenda kwenye hizo nchi nyingine..
  7. B

    Kuondoa icloud kwenye iphone

    "Icloud" unafahamu maana yake mkuu?
  8. B

    Tume ya Uchaguzi yakana taarifa ya Maalim Seif...

    , Sent using Jamii Forums mobile app
  9. B

    Kwanini vijana wanadogo wameanza kutoka na wanawake waliowazidi umri ?

    Mkuu tayari umeshasema Mamarioo... Sent using Jamii Forums mobile app
  10. B

    TANZIA: Ivan Ssemwanga (ex wa Zari) amefariki dunia usiku huu

    Umenisikitisha...kuona urithi ndio mpango mzima kwako!!!!
  11. B

    Gawio la shs. kwa hisa CRDB

    Ni kwa nia njema tu, anyway potezea...
Back
Top Bottom