Habari wakuu, mimi ni mtumishi serikalini idara ya afya, nimeamua kuacha kazi na kujiajiri binafsi. Naomba kujua utatatibu wa kisheria nawezaje kuacha kazi na nisisumbuliwe na mwajiri wangu ambaye ni serikali? , pia nina mkopo NMB umebaki mwaka mmoja na nusu kumalizika je nifanyeje kuhusu hili...
Binafsi sijawahi kuipigia kura ccm tangu nianze kupiga kura mwaka 2000, lakini nasema 2020 akitokea mgombea kuchukua fomu ya kugombea urais anayeweza kumtoa Magufuli madarakani nitampa kura hata kama ni wa ccm, kweli huyu rais hata mwaka mmoja uliobaki naona ni mbali sana
Wao wakae tu watumbue pesa wanayokusanya kila mwezi 2% ya wafanyakazi lakini eti kuna mapendekezo kwa serikali hakuna la maana hapo, miaka 3 mko kimya mmekosa strategy ya kushinikiza watumishi waongezewe mishahara mnaleta porojo tupu hapa
Habari wakuu,
Nimejaribu kufikiri sana juu ya wema alionao rais magufuli kwa wananchi wake na watanzania kwa ujumla, nikawaza pia na najua ipo siku rais magufuli na awamu yake wata staafu pia kama ilivyo taratibu za nchi yetu.
Mh Rais inawezekanaje mbunge kapigwa risasi waliompiga hawajulikani...
Ninachoamini ni kwamba hata serikali inayojiita ya awamu ya 5 ikikaa madarakani miaka 100 ipo siku itapita tu na watasahau kama waliwahi kuwa viongozi ....ushamba gani huu yani makosa yote wanafanya upinzani tu???
Hivi shida za wananchi zinatatuliwa na mbunge? Akili zingine hizi ...hebu nenda hata chato uone kama wanachi wa huko shida zao zina tofauti na wanachi wa singida mashariki...jinga kabisa
Wewe hata kama ulifaulu kuna mawili labda uliangalizia au uli kuwa bingwa wa kukariri kwa sababu huna hata uwezo wa kujenga hoja, una generalize kwamba serikalini walimu wamefeli ndio maana na wanafunzi wana feli..rudi kafanye utafiti kama A material siyo kuandik kama mtu ambaye hakwenda shule
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.