Kama huna hata idea ya biashara ni ngumu kukusaidia kwan idea zina vary kulingana na biashara aitakayo mtu so mda mwingine tafuta idea ndo utafute ushaur okey dada"
Nsanzugwanko ni mtu mwenye heshima zake ila haya mambo ya siasa na kushitakiana huku alishindwa uchaguzi ayaache kwan mchango wke tumeshauona na tunautambua.Afanye shughuli nyingine.
Ni jambo la busara na kimaendeleo kuona nchi inatoka kwenye mfumo wa digital na kuingia mfumo wa analogy ifikapo Dec, 30 lakini je wa TZ mnaufahamje huu mfumo maoni yako ni mhim sana?
Ni jambo la kushtusha sana kuwa idadi kubwa ya watanzania hawana taarifa za kutosha kuhusu mfumo huu ambao mimi mwenyewe unanishtua juu ya uwezekano wa watanzania kuweza kununua vocha kila wiki au kila mwezi ili kuangalia TV?
Kuna suala la mfumo wa digital ambao kuanzia mwezi wa kwanza unaanza kutumika lakini je watanzania wanayo elimu ya kutosha kuhusu mfumo huu?je,wewe unasemaje? unalionaje?
Tufanyeje ili kuboresha elimu ya vyuo vikuu tanzania na sio watu kumaliza vyuo na kuishia kuishi maisha ya kuhangaikia kazi na kuwasumbua mameneja a.k.a mabosi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.