Yah,kaongea vizuri ila namshauri naye atoke coz jioni watampiga madongo mengi na asipovumilia atampiga m2 ngumi ,si tunajua magamba yanavyojua umbea na majungu kuliko kujenga hoja?
za mwizi arobaini,ss inajulikana dhahiri kwamba ni nani ameamua kuwatumikia watz kwa dhati.Hongera Kafulila na Shibuda kwani kufanya kosa si kosa ila kurudia kosa ndio kosa.
Hello guys,
Hivi karibuni tumewasikia baadhi ya viongozi wakilipigia kelele suala la ukosefu wa ajira kwa vijana wa Tz wakiwemo Lowasa,sita na Membe kwa nyakati tofauti,Najiuliza maswali mengi juu yao,
-Hilo tatizo wameliona leo tu miaka iliyopita halikuwepo?
-Wameshindwa kabisa kulijengea...
Hello guys,Hivi karibuni viongozi kadhaa wa serikali wamesikika wakiongelea kuhusu ajira kwa vijana,baadhi yao ni Lowasa,sita na Membe.Kweli hawa watu wanania ya kweli ya kuwaendeleza vijana au wanakamilisha ule msemo kwamba SHETANI AKIZEEKA HUJIFANYA MALAIKA?
Think grey not Green
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.