ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
amewambia "mtachonga sana juu yangu ila nitawaambia ukweli"
nimemkubali huyu jamaa, kasema anawaunga mkono cdm ila aliamua kukaa ili awapasulie ukweli.
niungane na mdau aliyesema kuwa baada ya kuwachana, kuonesha kuwa amekerwa angetoka nje ya ukumbi kwani kama ni mtu makini hana haja ya kuendelea kubishana na ccm, kwani hana anachoweza kuwashawishi wezi wale