Wasomi wa Tanzania wametoa mchango gani kwenye Taifa letu mpaka sasa?

Nimejaribu kuattach CV ya Prof Peter Maina ya mwaka 2007. Cjui kama nimefanikiwa.
 

Attachments

  • Peter[1].pdf
    248.4 KB · Views: 104
Yeah nimefanikiwa ni CV yake ya mwaka 2007 nadhani itatupa mwanga. Kwa sasa nadhani ni member wa UN committee on elimination of all forms

of racial discrimination. Huwa inakuwa na 18 experts only, him being one of them.
 
Hii nimekopi from wikipedia


Prof. Mark Mwandosya (born December 28, 1949[1]) is a Tanzanian politician, currently serving as Minister of Water and Irrigation.

Mwandosya was a youth leader of the Tanganyika African National Union (TANU) from 1967 to 1968 and became a member of TANU in 1971, remaining a member when TANU became the Chama Cha Mapinduzi (CCM) in 1977. He taught at the University of Dar es Salaam from 1977 to 1987, as a lecturer from 1977 to 1980, as a senior lecturer from 1980 to 1983, and as an associate professor from 1983 to 1987. He was Commissioner at the Ministry of Water, Energy and Minerals from 1985 to 1990, Principal Secretary at the Ministry of Water, Energy and Minerals from 1990 to 1992, and Principal Secretary at the Ministry of Industries and Trade from 1992 to 1993. From 1994 to 2000, he again taught at the University of Dar es Salaam, this time as a professor.

He has been a member of the National Assembly of Tanzania for the CCM since 2000, and he was Minister of Communication and Transport from 2000 to 2005.[1] He was then appointed as Minister of State in the Vice-President's Office responsible for the Environment on January 4, 2006.[2] He was moved to the position of Minister of Water and Irrigation on February 12, 2008.[3]

[edit] EducationUniversity of Birmingham - UK PhD (Electrical & Electronics Eng.) 1974 - 1977
Aston University - UK BSc. (Engineering) Hons. 1971 - 1974
Dar es Salaam Technical College A-Level Education 1969
Malangali Secondary School O-Level Education 1965 - 1968
Chunya Middle School Primary Education 1961 - 1964
White Fathers Chunya Primary School 1959 - 1960
Majengo Pri 1957 - 1958[1]

Hapa chini ni profile nyingine ya maina. .
 

Attachments

  • ChrisMainaPeter[1].pdf
    75.9 KB · Views: 111
kama unavyoona hapo mwandosya cv yake imejaa siasa za chama tawala.

tatizo hapa kwetu hatuna R&D budget ya maana, na mpaka uipate hiyo fund japo kidogo, mkuuuuuu..? wataalamu wetu wanafanya sana research na mataifa ya nje na kulipwa ujira mzuri sana then jamaa wanaenda kuipresent work as if ni ya kwao or sometimes mnakuwa na agreement as co-owners. madaktari wetu wamefanya ugunduzi sana wakishirikiana na raia wa euro na ndio maana unaona wazungu wengi wanapenda kuja tz

Nyumbani wanasiasa ndio makandarasi mfano ujenzi wa uwanja wa taifa, project ya kupanua bandari ya dar wataalamu walimiza vichwa na kufanya research ya nguvu na kutoka na proposal ya maana ili kukabili mlundikano wa magari lkn mwanasiasa jk alipokwenda alitengua maamuzi within 5 mins na kutoa solution yake
 
I think decisions za policy makers/law makers kwa kiasi kikubwa ndio zina effects kubwa ktk Tanzania. Tutakuwa tunawaonea bure hawa wasomi sababu michango yao ama ushauri wao either hawapewi nafasi ya kusikilizwa au hata wakitoa ushauri wanapuuzwa. Hebu niwaulize wana JF swali moja: Kuna siku yoyote mmeshasikia ama imeshatokea akaitwa hata msomi mmoja bungeni for congressional hearing? Ama umeshaona hata kamati ya Bunge ikaenda kuwa-consult hawa wasomi for technical advisory? Jibu mnalo.
Kama jopo la wasomi hawa wakitoa technical advise ambayo itakuwa for the benefit of Tanzania but against the interest of the Rostam Aziz et. al, do you think nani atasikilizwa ama nani ata-win??
Wasomi ambao wanatakiwa wawe held accountable ni watu ambao tayari wako direct in the system kama the likes of Kapuya, Mwandosya, Chami, Wanyancha, Tibaijuka, etc
Unless kutokee changes, wengi wa hawa wasomi wataishia kushika chaki na mic, na kufanya vijireserach vyao wanavyokuwa assigned huko vyuoni and that's it
 
ok. . . That means they r victims of circumstances! Hao waliopo kwenye sytem wamefanya nini? Na hao wanaoshika chaki r they doing their best?
 
Wasomi wameenda kufanya kazi ktk mashirika makubwa ya nje. Walobaki humu nchini wamepigika sana tu, otherwise awe anategemea mradi mkuu kwa wafanyakazi wa serikali(rushwa yani). Unategemea aifanyie nini nchi zaidi ya kuiba.
 
Ritz,

La kwanza nikukosoe, Tz kama nchi co maskini na hivyo haiwezi kuwa miongoni mwa nchi maskini duniani. Huu ni uongo uliotungiwa nyimbo za beti zinazoitwa utafiti kisha kuimbwa mara nyingi mpaka tumelazimishwa kuukubali kama ndiyo ukweli halisi. Pili, siasa ikitamalaki na kudumu ktk kila hatamu, utaalamu hukosa kabisa nafasi.

Matokeo yake jambo lolote la kitaalamu ili lipokelewe na kufanyiwa kazi lazima lipate kwanza kitu wao wanaita "political will"-utashi wa kisiasa. Katika mfumo huu mtaalamu hawezi kuwa na mchango wa maana kwa jamii yake.
 
Last edited by a moderator:
Ushawahi kujiuliza kwanini Nyerere alikuwa hapendi wasomi tangia mwanzo?? Wacheki hawa hapa Bibi Titi, Mzee Kawawa, Kingunge n.k. Na wale waliokuwa na elimu zao waje waisaidie tanzania like Tuntemeke Sanga waliminywa na wengine walichaniwa vyeti vyao wakaishia kuwa walimu tu wa sekondari...so historia inaanzia mbali.

Isitoshe ufisadi umekubuhu sana, inasemaekana magonjwa sugu waliyonayo viongozi wetu wa juu(wengi walienda loiondo) huwa wanafikiria zaidi matumbo yao kwani siku zao za kuishi zinahesabika...so theory ya chukua chako mapema inazingatiwa than making life better to indegenous!!
 
Omutwale, umaskini unapimwa kwa indices zilizokubaliwa kama GDP etc, wewe unaweza ukawa na kipimo chako based on 'potential' au kitu kingine uonacho kina sound , wote mtakuwa sahihi sio lazma mkubaliane.

Ama kuhusu mchango wa wasomi, kama ulivosema ni kwamba tunaishi ktk jamii ambapo reason is being overwritten by siasa ktk karibu nyanja zote ambazo zingetegemewa kuleta mabadiliko ya haraka. Ktk mfumo tuliopo hakuna ubunifu wa kisomi unaokuwa promoted kwa maendeleo ya pamoja kama taifa bali personal glories zilizokuwa vested ktk mifumo ya kisiasa na kichama.
 
Ritz,ni nini defination ya usomi kwako?kwangu mm hata mwalimu afundishaye shule ni msomi!daktari atibuye wagonjwa hospitali ni msomi pia!je hujui michango yao kwa taifa hili?pls dont tell me kwako msomi anatakiwa kuondoa umasikini!

Individuals ndo tunatakiwa tu-work kwa maendeleo ya nchi na si kundi fulani,kama unavyofikiri ww!nchi yenye watu milioni 45+ haiwezi kuondokana na umasikini kupitia kwa kundi dogo la watu wasiozidi laki 4 (hao unao waita wasomi)!
 
ritz,
la kwanza nikukosoe, Tz kama nchi co maskini na hivyo haiwezi kuwa miongoni mwa nchi maskini duniani. Huu ni uongo uliotungiwa nyimbo za beti zinazoitwa utafiti kisha kuimbwa mara nyingi mpaka tumelazimishwa kuukubali kama ndiyo ukweli halisi.

Pili, siasa ikitamalaki na kudumu ktk kila hatamu, utaalamu hukosa kabisa nafasi. Matokeo yake jambo lolote la kitaalamu ili lipokelewe na kufanyiwa kazi lazima lipate kwanza kitu wao wanaita "political will"-utashi wa kisiasa. Ktk mfumo huu mtaalamu hawezi kuwa na mchango wa maana kwa jamii yake.
Umasikini wa mtanzania unatokana kipato chake..

Hawa wasomi wamewasaidiaje hawa watanzania masikini ambao hawakwenda shule?
 
Umasikini wa mtanzania unatokana kipato chake..

Hawa wasomi wamewasaidiaje hawa watanzania masikini ambao hawakwenda shule?
Tatizo la Tanzania si wasomi. Tatizo ni wanasiasa. Ukiangalia balaa zote zilizotukumba chanzo chake ni wanasiasa. Kuanzia IPTL, Net Solutions, Richmonduli, wasomi walitoa ushauri lakini wanasiasa wakaingilia kati. Na ukitofautiana na utashi wa wanasiasa unaundiwa zengwe, unahamishwa au kuachishwa kazi.
 
Wana JF.

Kila siku najiuliza sipati jibu sahaihi kuhusu wasomi wetu wa Tanzania..

Kwa mujibu wa data za World Bank na IMF Tanzania ipo kwenye kundi la nchi 20 maskini wa kutupwa duniani.

Baadhi ya nchi zimekuwa masikini kutokana kuwa na vita vya muda mrefu vya wenyewe kwa wenyewe kama vile Rwanda, DRC, Burundi, Somalia..

Hawa wasomi wetu kila kukicha wanajitapa na kijisifia na wengine wapo humu JF kuwa ni wasomi..

Ni kipi cha maana hawa wasomi wetu wa Tanzania wamelisadia taifa letu kutoka kwenye dimbwi la umasikini?

Kama kuna wasomi tunaomba mnijibu ni kipi mlichoifanyia taifa letu la Tanzania..
Nawakilisha...

  • KUINGIA KWENYE SIASA...nao WAFANYE MAAMUZI
 
Hello guys,Hivi karibuni viongozi kadhaa wa serikali wamesikika wakiongelea kuhusu ajira kwa vijana,baadhi yao ni Lowasa,sita na Membe.Kweli hawa watu wanania ya kweli ya kuwaendeleza vijana au wanakamilisha ule msemo kwamba SHETANI AKIZEEKA HUJIFANYA MALAIKA?

Think grey not Green
 
Mimi nafikiri tatizo letu ni la kiuongozi zaidi na sio kitaaluma,Ukiangalia hata mashirika mengi ya kigeni kwenye secta binafsi hakuna watanzania ambao wamefanikiwa kushika nyazifa za juu globaly,mfano katika Mabenki ya kimataifa.Huko hawahitaji tu vyeti vyako vya shule lakini pia uwezo wako wa kuongoza.hatuna maCEO wanaongoza mashirika ya kimataifa ukiacha Mashirika ya UN ambayo nafasi zake ukiachilia mbali CV ziko kisiasa pia.
 
Siasa mbaya!!! kila kitu Tanzania kinaenda ki siasa siasa tu na siasa yenyewe mbaya msiwalaumu wasomi
 
Back
Top Bottom