Recent content by Bubujiko

  1. B

    Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

    Tatu 👍mbili zimefeli kwa nn zinanganganiwa? Tugande hapohapo tu? Tunahitaji mabadiliko hio hoja ya gharama ni hoja dhaifu haina mashiko ishatolewa maelezo ya kutosha
  2. B

    Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

    Wacha kuleta propaganda za uongo hizo na chuki za kidini waraabu gani wenye shida na ardhi? Mbona husemi wazungu na wao ndio walokua wakoloni kila pahala duniani hata hao waarabu walikuwepo tu picha nguvu zote zilikua ktk mikono ya wazungu na sasa hivi ni nani aneniingia ktk nchi za wengine...
  3. B

    Asha Bakari hakuwa na haki ya kumtukana Jussa, hebu msikilize, Zanzibar anateta Dodoma anaufyata!

    Ni kweli kabisa sifa ya kiongozi wa CCM ni hizo uongo unafiki u selfish propaganda bac na huyu c wakuchaguliwa ni wakuteuliwa kila ukibobea na sifa hizi ndio unapanda chati ktk uongozi ccm
  4. B

    Kutoka kofia ya barghashia ya Nyerere 1964 hadi msalaba wa William Lukuvi 2014

    Umesema kweli mzee,kwa wale ambao yamewagusa haina maana kutoa matusi km wafanyavyo bungeni bali leteni hoja kupinga alichosema mzee Mohammed.Lazima tuwe waadilifu ili tuwe na amani chuki na ubaguzi hautatufikisha mahala.Na km kweli kuna chuki za kidini bac ni kinyume na mafundisho ya dini...
  5. B

    Lukuvi: Tukipitisha serikali tatu jeshi litatawala nchi

    Ikiwa muungano c wa serikali 2 bac ni kuvunja muungano? Hakuna muungano bila ya serikali 2? Hawa watu c bure wana ajenda zao za siri na serikali 2,yaani wako tayari hadi kupandikiza chuki hata za kidini ilimradi matakwa yao yasimame. Democrasia kwetu badoo kabisa wanajifanya tu kutaka bt...
  6. B

    Lukuvi: Tukipitisha serikali tatu jeshi litatawala nchi

    Kweli kabisa some thing wrong with his brain
  7. B

    Wazanzibar wote, wawe CCM au CUF wanaitetea Zanzibar yao kwa nguvu zote sisi watanganyika vipi?

    Msilaumu wa znz watanganyika nao wanahaki ya kudai Tanganyika yao kwa vinywa vipana CCM hawana hoja ya kupinga hilo, hizo za ubaguzu ikiwa itakua muungano wa serikali 3 na propaganda za waliofilisika.Nlimsikia mh mmoja akisema ati yy wanawe kwazaa tanzania kwa hio hawezi kujakua ktk tanganyika...
  8. B

    Muungano-wanashindwa kutetea hoja wanabaki kuwalaumu wanaupinga-muungano

    Ahsante mtoa mada umesema maneno mazima ndio wanavyoonekana husikii hoja za mashiko,leo mmoja amenichekesha anasema serikali 2 haziepukiki na pia ati wao wamezoea 2 hizo 3 hawajazizoea.lakini hajatoa hoja yoyote, na mwengine ametoa matusi kumtukana Maalim Seif badala kutoa hoja za kutetea mfumo...
  9. B

    Hatari: CCM yaunda KIKUNDI cha kuvuruga UKAWA

    CCM kila c ku wanatafuta mbinu mpya ya kuhakikisha udicteta wao unafanikiwa loh!Mwenyeezi Mungu asiwafanikishe wanafiki,watu wenye double faces hatari sana jamani.
  10. B

    Wapinzani na serikali tatu, kuna nini?

    Hilo ndilo suali la kuwauliza wana ccm kwa nini????wakati hicho wanachoking'an'gania 1)wananchi hawakitaki 2)wataalamu wameshasema sicho kinachofaa 3)kimekuwepo muda mrefu hakikuweza kutatua matatizo yaliyokuwepo 4)hawana hoja nzito za kukipinga.
  11. B

    Mbona ndugu zetu wakristo mna chuki sana na waarabu....?

    Wazungu jee hamuachukii wale waliwahamisha waafrika kwa mamilioni kuwapeleka America?wengine walikua wakiwatosa baharini walipokua wakiwasafirisha! Halafu utaskia warabu walifanya watumwa hushangaa sana kuona Kanisa pale Mkunazini ndio lilikua ni soko la watumwa na kanisa hilo lilikua mali ya...
  12. B

    Hivi kwanini mwarabu anamdharau mwanamke?

    Nakupa mfano mmoja tu ww uliyekurupuka kuanda mada hii ya uongo huko kwa waraabu mwanamke akiachika bac mume anapaswa amtizame kwa kila kitu akiwa na watoto na km mume atakua hatoi matumizi bac mwanamke akenda kushtaki huyo mwanamme mshara wake unakatwa na kupewa mmke wa kutosheleza mahitaji...
  13. B

    Hivi kwanini mwarabu anamdharau mwanamke?

    Web site hii The Religion of Islam someni Uislam kutoka authentic sources
  14. B

    Hivi kwanini mwarabu anamdharau mwanamke?

    Muungwana haropoki hasemi ila vitu alivyo ifanyia utafiti,wala hio bibilia si dhani kama inawafundisha wafuasi wake kutusi dini za wengine,ndugu zangu mnaokashifu Uislam someni muelewe msitopoke tu kwani mtajidhuru wenyewe,kitu km huna elimu nacho bora nyamaza.Kwa kuwasaidia wale wasiojua uislam...
Back
Top Bottom