mahalipema
Senior Member
- Mar 12, 2012
- 194
- 120
Ok, sawa Zitto sio mjadala, sasa mbona wachangiaji wengi wanamjadili zito badala ya mada husika? Na inafahamika fika kuwa Zitto sasa hivi ni hasimu wenu kwahiyo mnavyo muandika kwa namana yoyoyte ile lazima watu waliangalie andiko hilo kwa jicho la pili.
Kama vipi mpotezeeni au mkamjadili kwenye vikao vyenu but ukija mtu kama wewe kumzunguzia Zitto inaonekana ni Propaganda kwasababu ni hasimu wenu.
Kama vipi mpotezeeni au mkamjadili kwenye vikao vyenu but ukija mtu kama wewe kumzunguzia Zitto inaonekana ni Propaganda kwasababu ni hasimu wenu.