sasa wameshapigwa bao na waliowapiga bao wameondoka..ccm hawana kipya,hawana majibu....na hawana michango ya maana...wao hupenda kudandia ..miongozi ya kudai sijui nani katukanwa,sijui nani akanushe, sijui nani..kadhalilisha mtu..never kwenye hoja.Sasa hwana cha kuongea...Muda wa kutoa maoni ulishakwisha namshangaa sana Lukuvi. Tatizo CCM wana hofu wanajua watanzania tushachoka na usanii wao
Lukuvi, kasema mengi sana tofauti na JK, hivi si nyie mapovu yalikuwa yanawatoka Lipumba kuongea Msikitini, leo hii Lukuvi kuwapa wakisrto maelekezo wachague serikali mbili, mmekaa kimya,,daa!!!! chini hii kuna wazalendo wengi sana wabandia.
Yaaani sitta aliongea kwa upole na,kunyenyekeakweli kweli oooh waje milango iko wazi...hahaaaaa.
Lukuvi amechambia jani la mgomba matokeo yake amezidi kujipaka mavi. Aibu yake na ccm yao.
Anasema kwa habari alizonazo ambazo wengine waliomo ambao wamebaki kwenye BMK ,habari alizonazo ni kuwa CUF na CHADEMA wanamikataba kati yao ,CUF itapewa Serikali ya Zanzibar na CHADEMA watapewa serikali ya Tanganyika na CCM wataachiwa ya Muungano ,naamini kabisa Lukuvi hajui atendalo.:A S 39:
Yaaani sitta aliongea kwa upole na,kunyenyekeakweli kweli oooh waje milango iko wazi...hahaaaaa.
conflict is a fact of life, conflict has value in organizations because it, 1. spotlights problems that require attention 2. forces clarification 3.can invigorate leaders to strive for permanent solutions 4. directs the efforts or the organization toward finding solutions 5.counteracts lethargy that can overtake organizations 6.challenges old habits and restores dynamic creativity creativity that existed during the organization's formative stages 7. stimulates interest and curiosity.
conflict is the gadfly of thought. it stirs us to observation and memory. it instigates to invention. it shocks us out of sheep like passivity, and set us at noting and contriving ... Conflict is a sine qua non of reflection and ingenuity