Sasa wewe hizo hela za mauzo ya wachezaji ulitaka ziingizwe wapi?
Kwani wakati wananunuliwa unajua hela zilitoka wapi?
Acha uchwara. Tuachie Mooooo wetu
Mambo ya kutuchonganisha sie wanasimba acha kabisa.
Ushindi ndio furaha yetu
Pesa tunamwachia aliyetoa za kununulia[emoji1690]
Ndugu Mteja, Halotel inakutaarifu kutakuwa na mabadiliko katika vifurushi vyetu kuanzia tarehe 16/8/2021. Furahia huduma za Halotel kwa kupiga *148*66#, Asante.
Mwenye kuleta huu uzi inaonekana una elimu ya kukariri. Acha ujinga amka endesha maisha ya corona yanakuhusu nini?. Unakuwa kama mwanamme anayeishi ukweni. Du yaani.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.