PD_Magumba
JF-Expert Member
- Apr 2, 2021
- 687
- 2,173
- Thread starter
- #21
Vipi kwenye Maduka ya K/KooNunua Amazon ama mtu unaemfahamu ama mwenye sifa nzuri ya kukubali kurudishiwa kifaa, refurbished hazina uhakika kabisa unaweza ukapata simu nzuri ama ikawa kimeo.
Ukumbuke refurbished ni simu ambazo zimerudishwa Zikawa repaired na kuuzwa tena.
Kwa Amazon Unapata manufacture refurbished, yaani Kampuni yenyewe kama ni Apple ama Samsung ndio ametengeneza hii inakuwa safe kuliko seller refurbished iliotengenezwa mtaani.