Maneja kampeni wa Lissu pamoja na kwamba mgombea urais anaendelea kufanya vyema nakuomba umkumbushe aongelee na vifaa vya ujenzi mfano, siment, bati, nondo hazishikiki kwa bei ni kubwa sana na wananchi tunahangaika sana.
Nakupongeza sana lissu sisi kama wanasheria tunakuomba endelea kutoa elimu Juu ya haki na wajibu amri isiyo fuata sheria ni batiri ,piga kazi naona serikali yote imechanganyikiwa mara NEC,polisi,pia nimpongeze jakaya kutokujihusisha na kampeni za bhana yuleee kwani jakaya heshima yake ipo Juu sana
Nimesoma maelezo yako kamanda yaani mpaka yameniuma sana kwa Jinsi ndg LISSU anavyotaka kufanyia na hawa mawakala wa chichiem na ndyo maana kamanda lissu anasema ole wao waliojipanga kuiba kura maana kama inaonyesha upendeleo wa wazi kiasi hiki kwa nn wananchi wasipoteze imani na hao...
Kamanda lissu kamatia hapo hapo wananchi wanakuelewa sana hoja zako niza msingi umembana mbavu Mr hiyo hiyo usilegeze kamanda komaa wananchi ,wafanyakazi, wasomi, wafanyabiashara
Meneja kampeni wa Lissu, nakukumbusha tena ,usisahau kumkumbusha Lissu, atakapo fika kanda ya ziwa asisahau kuzungumzia kuhusu kitendo cha Magufuli na serikali yake kuchoma zana za uvuvi pamoja na mitumbwi yao ameshiriki kuwafilisi wavuvi
Ukweli unauma sana , taratibu lazima zifuatwe mo lazima atoe hizo pesa maana ni moja ya agreement in contract na haijalishi nani kahoji na hata kama kigwa asingehoji kuna siku mwingine atahoji so mo pls lipa pesa ,pia nafasi za kiuongozi lazima zitangazwe wanachama wenye sifa washindanishwe si...
Duniani kuna watu wasengerema kweli kama huyu jamaa, yaani wanachama walimwamini hadi akawabana wanachana waliokuwa na nia njema kabisa ya kuwatumikia wana nchi kupitia chadema afu leo anajitokeza mbele ya watanzania nakusema ujinga huo , huyo jamaa angekuwa kanda ya mara wangemtia adabu...
Ndugu meneja kampeni wa Tundu Lissu, napenda kukumbusha ya kuwa ile hotuba ya Tundu Lissu siku ya pili Kawe ilikuwa nzuri na watu wengi waliipokea vizuri sana , Hivyo nakushauri kuwa Tundu Lissu aendelee kuzungumzia.
1, Vitambulisho vya machinga
2, Wafanyakazi waliofukuzwa kinyama bila...
Wazimamizi wa vyuo ongezeeni kasi ya kuvifuatilia vyuo binafisi hasa vya afya vitu vinavyofanyika kwenye vyuo hvyo ni kuizika taaluma ya afya
1 rushwa za ngono
2,rushwa ya pesa
3,wizi wa mitihani
4,usimamizi mbovu wa mitihani
5,wanachuo kujaziwa marks bure bila kufanya hata mtihani ilimradi...
Nalipongeza Baraza la Mitihani Tanzania kwa kutoa matokeo ya kidato cha nne mapema.
Sasa ushauri wangu ni huu; kama wahusika wa elimu Tanzania mnajua kabisa hali ya uchumi ilivyo nchini wazazi hawana pesa kwa ajili ya watoto wao wanaojiunga na kidato cha tano, hapo kuna michango kibao, milioni...
Wadau wa siasa ,ningepeda kujua, kuna mwenyekiti wa chama anaitwa ,FAHAMI DOVUTWA, anapenda sana kuvaa kofia nyekundu ,je ni sare ya uniform za chama chake au ni mmoja wa makomando waliofeli kwenye uwanja wa mafunzo?? Hivyo huvaa ili kujipongeza kwa hatua aliyofikia
nimefatilia vzr kuhusu katibu mkuu wa zaman as chadema Dr mashinji ameachwa na kuteuliwa mpiganaji mwingine kijana wa chadema aliyekulia ndani ya chama mb mnyika pamoja na yote yaliyofanyika lakini mabadiliko yamechelewa sana mashinji alipwaya sana ,nawashauri pia wamwangalie Salem mwalimu...
Matamko yasiyo kwisha kwa tania hiyo ndyo maana chadema wanashangilia kuwa serikali hailali kwa sababu ya mambo Kama hayo sasa bendera za chama zimemuuzi nn puuuuuuum
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.