Recent content by BSL

  1. BSL

    Uchaguzi 2020 Ahadi na Sera za Tundu Lissu katika Uchaguzi Mkuu 2020

    Maneja kampeni wa Lissu pamoja na kwamba mgombea urais anaendelea kufanya vyema nakuomba umkumbushe aongelee na vifaa vya ujenzi mfano, siment, bati, nondo hazishikiki kwa bei ni kubwa sana na wananchi tunahangaika sana.
  2. BSL

    Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Wito wa Polisi siyo barua ya kirafiki, Nitaendelea na ratiba yangu ya kikao na mabalozi

    Nakupongeza sana lissu sisi kama wanasheria tunakuomba endelea kutoa elimu Juu ya haki na wajibu amri isiyo fuata sheria ni batiri ,piga kazi naona serikali yote imechanganyikiwa mara NEC,polisi,pia nimpongeze jakaya kutokujihusisha na kampeni za bhana yuleee kwani jakaya heshima yake ipo Juu sana
  3. BSL

    Uchaguzi 2020 Mahera (NEC) na Nyahoza (Naibu Msajili wa Vyama), kwanini hamkujipanga kabla ya kuonesha sinema yenu?

    Nimesoma maelezo yako kamanda yaani mpaka yameniuma sana kwa Jinsi ndg LISSU anavyotaka kufanyia na hawa mawakala wa chichiem na ndyo maana kamanda lissu anasema ole wao waliojipanga kuiba kura maana kama inaonyesha upendeleo wa wazi kiasi hiki kwa nn wananchi wasipoteze imani na hao...
  4. BSL

    Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu

    Kamanda lissu kamatia hapo hapo wananchi wanakuelewa sana hoja zako niza msingi umembana mbavu Mr hiyo hiyo usilegeze kamanda komaa wananchi ,wafanyakazi, wasomi, wafanyabiashara
  5. BSL

    Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mkoani Katavi na Kigoma, azungumzia Katiba Mpya

    Meneja kampeni wa Lissu, nakukumbusha tena ,usisahau kumkumbusha Lissu, atakapo fika kanda ya ziwa asisahau kuzungumzia kuhusu kitendo cha Magufuli na serikali yake kuchoma zana za uvuvi pamoja na mitumbwi yao ameshiriki kuwafilisi wavuvi
  6. BSL

    Wakili wa Tundu Lissu amwaga cheche kwa walivyojipanga dhidi ya mteja wao

    swali ,ndugu zangu ,katika mikutano yote ya lissu anayofanya sijamuona ndg LAZARO NYALANDU akishiriki je kunatatizo au
  7. BSL

    Namuunga mkono Kigwangalla dhidi ya MO Dewji

    Ukweli unauma sana , taratibu lazima zifuatwe mo lazima atoe hizo pesa maana ni moja ya agreement in contract na haijalishi nani kahoji na hata kama kigwa asingehoji kuna siku mwingine atahoji so mo pls lipa pesa ,pia nafasi za kiuongozi lazima zitangazwe wanachama wenye sifa washindanishwe si...
  8. BSL

    Uchaguzi 2020 Video: Mwangalie Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Uchaguzi (NEC) kisha toa maoni yako

    Mwaka huu lazima kiongozi kama si mmoja au wawil washitakiwe icc na ushahid upo mwingi tu
  9. BSL

    Uchaguzi 2020 Mufindi: Mgombea Udiwani CHADEMA ajitoa, alaumu chama kukosa Sera na Ilani

    Duniani kuna watu wasengerema kweli kama huyu jamaa, yaani wanachama walimwamini hadi akawabana wanachana waliokuwa na nia njema kabisa ya kuwatumikia wana nchi kupitia chadema afu leo anajitokeza mbele ya watanzania nakusema ujinga huo , huyo jamaa angekuwa kanda ya mara wangemtia adabu...
  10. BSL

    Uchaguzi 2020 Ahadi na Sera za Tundu Lissu katika Uchaguzi Mkuu 2020

    Ndugu meneja kampeni wa Tundu Lissu, napenda kukumbusha ya kuwa ile hotuba ya Tundu Lissu siku ya pili Kawe ilikuwa nzuri na watu wengi waliipokea vizuri sana , Hivyo nakushauri kuwa Tundu Lissu aendelee kuzungumzia. 1, Vitambulisho vya machinga 2, Wafanyakazi waliofukuzwa kinyama bila...
  11. BSL

    Kuhusu kufungiwa kwa baadhi ya vyuo na vingine kufutiwa usajili.

    Wazimamizi wa vyuo ongezeeni kasi ya kuvifuatilia vyuo binafisi hasa vya afya vitu vinavyofanyika kwenye vyuo hvyo ni kuizika taaluma ya afya 1 rushwa za ngono 2,rushwa ya pesa 3,wizi wa mitihani 4,usimamizi mbovu wa mitihani 5,wanachuo kujaziwa marks bure bila kufanya hata mtihani ilimradi...
  12. BSL

    Ushauri wangu kwa wadau wa elimu

    Nalipongeza Baraza la Mitihani Tanzania kwa kutoa matokeo ya kidato cha nne mapema. Sasa ushauri wangu ni huu; kama wahusika wa elimu Tanzania mnajua kabisa hali ya uchumi ilivyo nchini wazazi hawana pesa kwa ajili ya watoto wao wanaojiunga na kidato cha tano, hapo kuna michango kibao, milioni...
  13. BSL

    Naomba kufahamishwa kuhusu FAHAMI DOVUTWA

    Wadau wa siasa ,ningepeda kujua, kuna mwenyekiti wa chama anaitwa ,FAHAMI DOVUTWA, anapenda sana kuvaa kofia nyekundu ,je ni sare ya uniform za chama chake au ni mmoja wa makomando waliofeli kwenye uwanja wa mafunzo?? Hivyo huvaa ili kujipongeza kwa hatua aliyofikia
  14. BSL

    John Mnyika ateuliwa kuwa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, Benson Kigaila-NKM Bara na Salum Mwalimu NKM Zanzibar

    nimefatilia vzr kuhusu katibu mkuu wa zaman as chadema Dr mashinji ameachwa na kuteuliwa mpiganaji mwingine kijana wa chadema aliyekulia ndani ya chama mb mnyika pamoja na yote yaliyofanyika lakini mabadiliko yamechelewa sana mashinji alipwaya sana ,nawashauri pia wamwangalie Salem mwalimu...
  15. BSL

    Mkuu wa Wilaya Sumbawanga aagiza kung'olewa bendera zote za CHADEMA wilaya nzima

    Matamko yasiyo kwisha kwa tania hiyo ndyo maana chadema wanashangilia kuwa serikali hailali kwa sababu ya mambo Kama hayo sasa bendera za chama zimemuuzi nn puuuuuuum
Back
Top Bottom