Wadau wa siasa ,ningepeda kujua, kuna mwenyekiti wa chama anaitwa ,FAHAMI DOVUTWA, anapenda sana kuvaa kofia nyekundu ,je ni sare ya uniform za chama chake au ni mmoja wa makomando waliofeli kwenye uwanja wa mafunzo?? Hivyo huvaa ili kujipongeza kwa hatua aliyofikia