BSL
Member
- Dec 15, 2018
- 86
- 98
Nalipongeza Baraza la Mitihani Tanzania kwa kutoa matokeo ya kidato cha nne mapema.
Sasa ushauri wangu ni huu; kama wahusika wa elimu Tanzania mnajua kabisa hali ya uchumi ilivyo nchini wazazi hawana pesa kwa ajili ya watoto wao wanaojiunga na kidato cha tano, hapo kuna michango kibao, milioni moja inaweza kuteketea kwa ajili ya maandalizi.
Sasa nawaombeni mtoe sasa shule wanazojiunga nazo ili kula mzazi ajue mwanaye anaenda shule gani na gharama zake nizipi ili kufikia kipindii cha kuripoti mashuleni wazazi wawe wamechanga changa hivyo wazazi mtawapunguzia usumbufu wa kuuza hadi mashamba ili watoto waende shule.
Sasa ushauri wangu ni huu; kama wahusika wa elimu Tanzania mnajua kabisa hali ya uchumi ilivyo nchini wazazi hawana pesa kwa ajili ya watoto wao wanaojiunga na kidato cha tano, hapo kuna michango kibao, milioni moja inaweza kuteketea kwa ajili ya maandalizi.
Sasa nawaombeni mtoe sasa shule wanazojiunga nazo ili kula mzazi ajue mwanaye anaenda shule gani na gharama zake nizipi ili kufikia kipindii cha kuripoti mashuleni wazazi wawe wamechanga changa hivyo wazazi mtawapunguzia usumbufu wa kuuza hadi mashamba ili watoto waende shule.