BSL
Member
- Dec 15, 2018
- 86
- 98
Duniani kuna watu wasengerema kweli kama huyu jamaa, yaani wanachama walimwamini hadi akawabana wanachana waliokuwa na nia njema kabisa ya kuwatumikia wana nchi kupitia chadema afu leo anajitokeza mbele ya watanzania nakusema ujinga huo , huyo jamaa angekuwa kanda ya mara wangemtia adabu shenzi type, pia amenikumbusha yule katibu wa ccm HORASI KOLIMBA aliwahi kuiabia ccm kuwa haina dira wala mwelekeo katibu yule alifariki ghafla ,shetwain mkubwa